Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
wanajua Putin anaweza order a hit on Biden,,,uwezo huo wanaoKwa hiyo kiufupi US walikuwa wanajitetea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanajua Putin anaweza order a hit on Biden,,,uwezo huo wanaoKwa hiyo kiufupi US walikuwa wanajitetea?
putin anaweza kumua huyo mzeeWamarekani nao! Wameniangusha sana katika hili, kama ni kweli sijapenda. Kwanini isibaki hivyohivyo ilivyo? Kwanini kujitetea? Wanahofia nini?
Putin days are numbered. Just stay tune. Huwezi fanya ukatili kama huu ukabaki salama.Rais wa Marekani, Joe Biden amemshambulia moja kwa moja Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika hotuba yake kwa kusema ‘Mtu huyo hatakiwi kuendelea kuwa na nguvu’ na kuonya kuwa kama akiendelea anachokifanya anaweza kusababisha vita ya muda mrefu Ulaya.
“Mungu wangu, huyu mtu hatakiwi kuendelea kuwa na nguvu,” alinukuliwa akisema Biden, jana Jumamosi Machi 26, 2022.
Mara baada ya kauli hiyo, The Kremlin ambayo ni ngome ya Putin ilionyeshwa kukasishwa na kauli hiyo, ndipo Ikulu ya Marekani ikaweka wazi kuhusu kauli hiyo ya Biden.
Ikulu ya Marekani (White House) imesema kuwa kauli hiyo haikuwa ikimaanisha kuwa anashawishi mabadiliko ya utawala wa Urusi.
“Rais alimaanisha kuwa Putin hawezi kuendelea kuwa na nguvu dhidi ya Nchi jirani yake. Hakuwa akizungumzia kuhusu utawala wa Putin Nchini Urusi,” ilisema taarifa ya White House.
View attachment 2165639
Source: Daily Mail
-----------------------
'For God's sake, this man cannot remain in power': Biden says Putin should no longer be leader of Russia in fiery speech in Poland - but the White House is forced to walk back his comments and insist he's NOT calling for regime change
President Joe Biden went directly after Vladimir Putin in an emotional speech on Saturday, where he said the Russian president 'cannot remain in power' and warned if Putin's ambitions went unchecked it could lead to decades of war in Europe.
'For god's sake this man cannot remain in power,' he said of Putin, describing the Russian president as having a 'craving for absolute power and control.'
The Kremlin reacted furiously at the quote and the White House moved quickly to clear it up, saying Biden was not calling for a regime change in Moscow.
'The President's point was that Putin cannot be allowed to exercise power over his neighbors or the region. He was not discussing Putin's power in Russia, or regime change,' a White House official said.
he Biden administration has taken care to not call for a regime change in Russia, knowing Putin would see it as an escalation.
Weeeeee huijuwi Marekani... Wana team za mauwaji kiasi huyo Putin anajuwa hao jamaa sio watu wazuriputin anaweza kumua huyo mzee
Wanahofia mchizi wa Kremlin (anayetishia kuangaamiza dunia) kuchizika zaidi. Siyo Biden tu mamilioni wa binadamu wanawaza/watafurahia anguko la Putin.Wamarekani nao! Wameniangusha sana katika hili, kama ni kweli sijapenda. Kwanini isibaki hivyohivyo ilivyo? Kwanini kujitetea? Wanahofia nini?
Maneno yote aliyo yaongea Biden sina tatizo nayo ila hapa “For God’s sake” [emoji15][emoji15] kwamba.....???? Au mie ndo sijaelewa?
ha ha ha.wenzio ikulu wamerudi kutengua kauli huko[emoji23][emoji23][emoji23]. kitufe Cha request to shoot supersonic bomb,Putin alikuwa anakichabo kwa mbaaali. Uzuri wametengua kauli mapema iwezekanavyo[emoji23][emoji23].... loud, clear, and to the point! Hakuna kupindapinda kauli kwa wauwaji kama Putin; gaidi kabisa yule! Enzi zake zimekaribia mwisho.
[emoji23],wamarekani weusi ,tulieni ,punguzeni jazba .Putin days are numbered. Just stay tune. Huwezi fanya ukatili kama huu ukabaki salama.
Kiufupi tu Huna akili na huijui UrusiWeeeeee huijuwi Marekani... Wana team za mauwaji kiasi huyo Putin anajuwa hao jamaa sio watu wazuri
We jamaa unamchukia sana putin ungekuwa karibu ningekuvunjia yai kwenye nkandu... loud, clear, and to the point! Hakuna kupindapinda kauli kwa wauwaji kama Putin; gaidi kabisa yule! Enzi zake zimekaribia mwisho.
... ndio wanakufanyia hivyo hapo mtaani kwenu?We jamaa unamchukia sana putin ungekuwa karibu ningekuvunjia yai kwenye nkandu
Wasijitee kwa mavinu aliyonayo Russia unadhani hawayahofii hata kidogo tu [emoji848][emoji16]Kwa hiyo kiufupi US walikuwa wanajitetea?
Wewe hiyo dawa yako maana una mdomo mrefu kama chuchungi hivyo tunakumwagia yai kwenye nkandu... ndio wanakufanyia hivyo hapo mtaani kwenu?
... nimekuuliza ndio masela wanakufanyia hivyo hapo mtaani kwenu? Choko umeanza kuji-expose? Punguani wahed!Wewe hiyo dawa yako maana una mdomo mrefu kama chuchungi hivyo tunakumwagia yai kwenye nkandu
Watu woyoooo vipi mwana naona umekomaa baada ya kukumwagia yai ngoja nirudie tena kukumwagia tuelewane na hiyo ni bichwa tu bado miili yake... nimekuuliza ndio masela wanakufanyia hivyo hapo mtaani kwenu? Choko umeanza kuji-expose? Punguani wahed!
We ndo fala kabisaWeeeeee huijuwi Marekani... Wana team za mauwaji kiasi huyo Putin anajuwa hao jamaa sio watu wazuri
usiwachezee warusi kwenye mauwaji hata kidogo unadhan kwanini maduro wa venezuela anadunda mpaka leo?Weeeeee huijuwi Marekani... Wana team za mauwaji kiasi huyo Putin anajuwa hao jamaa sio watu wazuri