Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Putin awape chai kidogoš adondoshe Tsar Bomb moja pentagon hapo whitehouse ili amfute huyu mwehu kwenye ramani ya dunia moja kwa moja.Kwa hiyo kiufupi US walikuwa wanajitetea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin awape chai kidogoš adondoshe Tsar Bomb moja pentagon hapo whitehouse ili amfute huyu mwehu kwenye ramani ya dunia moja kwa moja.Kwa hiyo kiufupi US walikuwa wanajitetea?
Just stay tune Ć Just stay tuned āPutin days are numbered. Just stay tune. Huwezi fanya ukatili kama huu ukabaki salama.
Tukiwa tunasema kua US ni PAPER TIGER muwe munaelewa... loud, clear, and to the point! Hakuna kupindapinda kauli kwa wauwaji kama Putin; gaidi kabisa yule! Enzi zake zimekaribia mwisho.
Wana akili sana tu, na wanajua vizuri sana jinsi gani Russia ni habari nyingine kiuwezo wa technology, rasilimali, kiuchumi na hata kibiashara duniani.
Hawezi kubaki salama ila ataendelea kubaki PUT INPutin days are numbered. Just stay tune. Huwezi fanya ukatili kama huu ukabaki salama.
Hizo ni ndoto kama ndoto nyingine..Putin is there to stay!Putin days are numbered. Just stay tune. Huwezi fanya ukatili kama huu ukabaki salama.
Huna tofauti na profile picture uliyoiweka... loud, clear, and to the point! Hakuna kupindapinda kauli kwa wauwaji kama Putin; gaidi kabisa yule! Enzi zake zimekaribia mwisho.
Hahaaaa...[emoji16] Nimecheka kwa sauti kubwa sana Mkuu.Hawezi kubaki salama ila ataendelea kubaki PUT IN
Cha kushangaza kabisa huko kote ambapo USA kamwaga damu na NATO yake hapajawahi kutokea kura zozote zile zilizopigwa na Maseneta wa USA wala Wabunge wa nchi za Ulaya magharibi kulaani unyama uliokuwa ukifanywa na USA.Hizo ni ndoto kama ndoto nyingine..Putin is there to stay!
Unaouita ukatili walifanyiwa Libya, Iraq na kwingineko na viongozi walioamrisha hayo walidumu kwa vipindi vyao..kwanini iwe tofauti kwa Putin!?
Taarifa za upande mmoja kuhusu hii vita tunazopokea ni propaganda za west.
Wangeeleweka vizuri kama wangeacha vyombo vyote vya habari vitoe taarifa zao watu wafanye uchambuzi wenyewe.
PUT IN hua hatanii bi JOYCE BIDEN na NYUMBA NYEUPE wameprove hiliHahaaaa...[emoji16] Nimecheka kwa sauti kubwa sana Mkuu.
Kwamba badala ya kumwita Putin umefikia hatua ya kumwita "PUT IN" ukimaanisha huyo Mbabe ni Mzee wa kuweka tu akizinguliwa na mabeberu wala hatanii [emoji848][emoji1787]
russia akienda mzigoni anaendaga mwenyewe. USA akienda mzigoni lazima aite backup UK France Germany etcTukiwa tunasema kua US ni PAPER TIGER muwe munaelewa
Pia tukiwa tunasema kua RUSSIA sio ZIMBABWE ujue hua twamaanisha
Nimecheka sana Putin ni mnyama sanaRais wa Marekani, Joe Biden amemshambulia moja kwa moja Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika hotuba yake kwa kusema āMtu huyo hatakiwi kuendelea kuwa na nguvuā na kuonya kuwa kama akiendelea anachokifanya anaweza kusababisha vita ya muda mrefu Ulaya.
āMungu wangu, huyu mtu hatakiwi kuendelea kuwa na nguvu,ā alinukuliwa akisema Biden, jana Jumamosi Machi 26, 2022.
Mara baada ya kauli hiyo, The Kremlin ambayo ni ngome ya Putin ilionyeshwa kukasishwa na kauli hiyo, ndipo Ikulu ya Marekani ikaweka wazi kuhusu kauli hiyo ya Biden.
Ikulu ya Marekani (White House) imesema kuwa kauli hiyo haikuwa ikimaanisha kuwa anashawishi mabadiliko ya utawala wa Urusi.
āRais alimaanisha kuwa Putin hawezi kuendelea kuwa na nguvu dhidi ya Nchi jirani yake. Hakuwa akizungumzia kuhusu utawala wa Putin Nchini Urusi,ā ilisema taarifa ya White House.
View attachment 2165639
Source: Daily Mail
-----------------------
'For God's sake, this man cannot remain in power': Biden says Putin should no longer be leader of Russia in fiery speech in Poland - but the White House is forced to walk back his comments and insist he's NOT calling for regime change
President Joe Biden went directly after Vladimir Putin in an emotional speech on Saturday, where he said the Russian president 'cannot remain in power' and warned if Putin's ambitions went unchecked it could lead to decades of war in Europe.
'For god's sake this man cannot remain in power,' he said of Putin, describing the Russian president as having a 'craving for absolute power and control.'
The Kremlin reacted furiously at the quote and the White House moved quickly to clear it up, saying Biden was not calling for a regime change in Moscow.
'The President's point was that Putin cannot be allowed to exercise power over his neighbors or the region. He was not discussing Putin's power in Russia, or regime change,' a White House official said.
he Biden administration has taken care to not call for a regime change in Russia, knowing Putin would see it as an escalation.