INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Wewe unawajua wamarekani vizuri kuliko wanavyojijua wenyewe?!!!!!!!US wamepatikana urais wa awamu hii
Wewe unawajua wamarekani vizuri kuliko wanavyojijua wenyewe?!!!!!!!
Ach tu kila mtu jf anaijua US nje ndaniWewe unawajua wamarekani vizuri kuliko wanavyojijua wenyewe?!!!!!!!
Mchina kamchulia Biden alikuwa anajisadia choo cha waziUS wamepatikana urais wa awamu hii
Wanachekesha kweli!! Hivi taifa linalokimbiza dunia kwenye kila nyanja, tena kwa kitambo kirefu huku maadui zake wakikesha bila mafanikio kutafuta mbinu za kuwaangusha, wanaweza kufanya mambo kwa kukurupuka?!!! Unafikiri Biden angelikuwa mjinga mjinga tu wangempa kirahisi like linchi?!!!!Ach tu kila mtu jf anaijui US nje ndani
Wanachekesha kweli!! Hivi taifa linalokimbiza dunia kwenye kila nyanja, tena kwa kitambo kirefu huku maadui zake wakikesha bila mafanikio kutafuta mbinu za kuwaangusha, wanaweza kufanya mambo kwa kukurupuka?!!! Unafikiri Biden angelikuwa mjinga mjinga tu wangempa kirahisi like linchi?!!!!
Hatimae F-22 ikapata kazi
Mmarekani aliabishwa sana na Osama Bin Laden kwa kupigwa Makao Makuu ya Jeshi tena wing ya watalaamu wa Pentagon pia World Trade Centre au hujui?? Hana ukubwa wowote!!Wanachekesha kweli!! Hivi taifa linalokimbiza dunia kwenye kila nyanja, tena kwa kitambo kirefu huku maadui zake wakikesha bila mafanikio kutafuta mbinu za kuwaangusha, wanaweza kufanya mambo kwa kukurupuka?!!! Unafikiri Biden angelikuwa mjinga mjinga tu wangempa kirahisi like linchi?!!!!
Wametia aibu sana.Mchina bado ni mtoto kwenye kufanya ujasusi
Kwa maana hiyo nchi ile si itakuwa kila rais anawekwa na hao 'waongozaji' wanaoitwa dark suit men au? Kama ni hivyo kwanini mumpigie kelele Biden tu na sio na wengine pia au hao dark suit men wanakuwa kipindi cha Biden tu?!!!!Marekani inaongozwa na dark suit men hawa ndo wanaamua Rais awe nani na lengo lao kubwa ni NWO uyo biden kawekwa na watu lengo kutimiza agenda zao pole sana ila ipo siku ubongo wako utafunguka.
Haya kiongozi!Mmarekani aliabishwa sana na Osama Bin Laden kwa kupigwa Makao Makuu ya Jeshi tena wing ya watalaamu wa Pentagon pia World Trade Centre au hujui?? Hana ukubwa wowote!!