INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
- #41
Ukiwa unachambua hivi kwenye kijiwe cha kahawa wanahisi unaakili sana kumbe ni kilaza anaetembea,
Sawa Upinde umesikika sema lingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa unachambua hivi kwenye kijiwe cha kahawa wanahisi unaakili sana kumbe ni kilaza anaetembea,
Sawa Babu lakini usiwe unatuletea chai isiyo na sukariKunywa maji bibi
Sasa super power anatumia miaka zaidi ya kumi tena kwa kusaidiwa na mataifa kibao kumpata gaidi mmoja tu. Maana yake Osama alikuwa super power zaidi yao ukitilia maanani mbinu aliyotumia kuwapiga mpaka sehemu zao nyeti. Osama he was very inteligence than them!!Acha mzaha mkuu. Marekani siyo kama Iran. Hivi Osama yuko wapi sasa?
Dark suit wanaongoza dunia nzima, sio USA pekee,hata huko China.Marekani inaongozwa na dark suit men hawa ndo wanaamua Rais awe nani na lengo lao kubwa ni NWO uyo biden kawekwa na watu lengo kutimiza agenda zao pole sana ila ipo siku ubongo wako utafunguka.
Yule mvaa kobazi aliwafanya mbaya sanaSasa super power anatumia miaka zaidi ya kumi tena kwa kusaidiwa na mataifa kibao kumpata gaidi mmoja tu. Maana yake Osama alikuwa super power zaidi yao ukitilia maanani mbinu aliyotumia kuwapiga mpaka sehemu zao nyeti. Osama he was very inteligence than them!!