Biden awapongeza wanajeshi kwa kufanikiwa kulitungua Balloon la China

Biden awapongeza wanajeshi kwa kufanikiwa kulitungua Balloon la China

Uongo mtupu
Marekani inaongozwa na dark suit men hawa ndo wanaamua Rais awe nani na lengo lao kubwa ni NWO uyo biden kawekwa na watu lengo kutimiza agenda zao pole sana ila ipo siku ubongo wako utafunguka.
 
Humu kuna majinga meng sana, mnadhan marekan wanafanya mambo kwa kukurupuka kama bongo, walichelewa kulidungua ili walichunguze je kama lina sumu au virusi vya ugonjwa fulan kwmb mkilipasua tu mmeisha, kuna majinga humu yanashangaa sku zote hzo walishndwa nn kulilipua..
 
Humu kuna majinga meng sana, mnadhan marekan wanafanya mambo kwa kukurupuka kama bongo, walichelewa kulidungua ili walichunguze je kama lina sumu au virusi vya ugonjwa fulan kwmb mkilipasua tu mmeisha, kuna majinga humu yanashangaa sku zote hzo walishndwa nn kulilipua..

Hahaha puto mpaka linaingia hawakuliona Wananchi ndo walitoa taarifa, yaani ilitakiwa puto linavogusa mipaka tu data zote wawe nazo kama lina sumu au laah.
 
Mmarekani aliabishwa sana na Osama Bin Laden kwa kupigwa Makao Makuu ya Jeshi tena wing ya watalaamu wa Pentagon pia World Trade Centre au hujui?? Hana ukubwa wowote!!
Na Putin alikuwa wa kwanza kamtahadhalisha Bush mapema kabisa kwamba kuna jambo kubwa linakuja. Baada ya jasusi mbobevu kuunganisha dots kwa tukio la USS Cole na balozi za Dar na Nairobi. Alimpigia simu akamwambia kuwa makini huenda kuna jambo kubwa zaidi linakuja. Wamarekani nao wana uzembe wao kwenye inteligence
 
Mmarekani aliabishwa sana na Osama Bin Laden kwa kupigwa Makao Makuu ya Jeshi tena wing ya watalaamu wa Pentagon pia World Trade Centre au hujui?? Hana ukubwa wowote!!
Acha mzaha mkuu. Marekani siyo kama Iran. Hivi Osama yuko wapi sasa?
 
Duuh Rais anapongeza wanajeshi kupiga puto, au mim ndo sijaelewa jaman
Hata Mimi nimeshangaa!Kweli kupiga puto nayo ni habari ya kupongezwa na Rais?
Hata aliyepongezwa nadhani huko alipo anaona aibu!
 
Marekani inaongozwa na dark suit men hawa ndo wanaamua Rais awe nani na lengo lao kubwa ni NWO uyo biden kawekwa na watu lengo kutimiza agenda zao pole sana ila ipo siku ubongo wako utafunguka.
Tuonee huruma unatupa strong tea lakini bila sukari tumebaki kuitazama tu hatuwezi kunywa.
 
Mchina bado ni mtoto kwenye kufanya ujasusi
Una uhakika kwa kile unachokisema au basi tu!! Mara ngapi hapa Serikali ya Anerika inawalalamikia wachina kwa kudukuwa mafaiki yao sensitive kutija Pentagon na viwanda vya kuunda 5th Generation ndege na silaha za kisasa kabisa - ma-terabytes za mafaili yanadukuliwa any time, na hii si kwa Wanasayansi wa kichina tu hata Wanasayansi wa Korea Kaskazini wanawaliza Wamerikani kila siku kwa kudukuwa siri zao za masuala ya silaha na blue prints za ndege zao za kivita including F-35 - ushahidi hupo wa kuonyesha Wamerika wakipiga kelele na kulalama ovyo kuhusu udukuzi wa Wachina na Wakorea kasikazini taifa ambalo US udai liko nyuma sana kwenye masuala ya sayansi na teknolojia na wanakufa njaa kila siku!!

Leo hii tena wabobezi wa propaganda na mikwara lukuki wanatujia na zuga ya mwaka ndio eti : wamefanikiwa ku-shoot down a subsonic flying balloon ya kuchunguza hali ya hewa tu, lakini USA inadai eti ilikuwa inajihusisha na masuala ya kijasusi - wachina wana haja gani ya kutumia balloon zinazo onekana kirahisi Duniani wakati wana multitude earthq low orbit flying satellites za kuchunguza kila kitu ikiwemo kupigapicha za high resolution na kunasa mawasiliano ya kiraia na kijeshi nchini Merikani - USA ikumbuke kwamba Uchina ya leo sio wa mwaka 1947 - Americans should stay home put waachane na tabia zao za kujiingiza kwenye masuala ya ndani ya mataifa ambayo ni huru na kuchochea mataifa yapigane vita kwa manufaa ya viwanda vyao vya kuunda silaha - wakumbuke kwamba kwenye sakata hili la Ukraine Russia is not alone ana marafiki zake wenye uwezo mkubwa kivita just in case - watamchangia na kumumaliza kabisa hata kana ana silaha za kinuklia wamejwisha jua wata deal naye vipi na watajikinga vipi - sisemi na wao hawa adhilika lakini Merikani ndio itachakazwa zaidi - sema mbayo taka lakiniukweli ndio huoDunia imekwisha choshwa na udhalimu wa taifa hili.
 
US wamepatikana urais wa awamu hii
Japan naye ameanza kushirikiana na US kuchunguza vitu vilivyoonekana vikipita kwenye anga la japan mwaka 2020 na 21 ambavyo awali walivichukulia poa sasa wameanza kuhusi yalikuwa mabaloon ya mchainizi
 
Una uhakika kwa kile unachokisema au basi tu!! Mara ngapi hapa Serikali ya Anerika inawalalamikia wachina kwa kudukuwa mafaiki yao sensitive kutija Pentagon na viwanda vya kuunda 5th Generation ndege na silaha za kisasa kabisa - ma-terabytes za mafaili yanadukuliwa any time, na hii si kwa Wanasayansi wa kichina tu hata Wanasayansi wa Korea Kaskazini wanawaliza Wamerikani kila siku kwa kudukuwa siri zao za masuala ya silaha na blue prints za ndege zao za kivita including F-35 - ushahidi hupo wa kuonyesha Wamerika wakipiga kelele na kulalama ovyo kuhusu udukuzi wa Wachina na Wakorea kasikazini taifa ambalo US udai liko nyuma sana kwenye masuala ya sayansi na teknolojia na wanakufa njaa kila siku!!

Leo hii tena wabobezi wa propaganda na mikwara lukuki wanatujia na zuga ya mwaka ndio eti : wamefanikiwa ku-shoot down a subsonic flying balloon ya kuchunguza hali ya hewa tu, lakini USA inadai eti ilikuwa inajihusisha na masuala ya kijasusi - wachina wana haja gani ya kutumia balloon zinazo onekana kirahisi Duniani wakati wana multitude ya low orbit flying satellites za kuchunguza kila kitu ikiwemo kupigapicha za high resolution na kunasa mawasiliano ya kiraia na kijeshi nchini Merikani - USA ikumbuke kwamba Uchina ya leo sio wa mwaka 1947 - Americans should stay home put waachane na tabia zao za kujiingiza kwenye masuala ya ndani ya mataifa ambayo ni huru na kuchochea mataifa yapigane vita kwa manufaa ya viwanda vyao vya kuunda silaha - wakumbuke kwamba kwenye sakata hili la Ukraine Russia is not alone ana marafiki zake wenye uwezo mkubwa kivita just in case - watamchangia na kumumaliza kabisa hata kana ana silaha za kinuklia wamejwisha jua wata deal naye vipi na watajikinga vipi - sisemi na wao hawa adhilika lakini Merikani ndio itachakazwa zaidi - sema mbayo taka lakiniukweli ndio huoDunia imekwisha choshwa na udhalimu wa taifa hili.
Kuna watu wao kwao US ni alfa na omega hata kama US mwenywe atakili jambo bado watasema anamlaghai mchina.
Mahaba ya mtazania huwa yanaondoa reasoning
 
Sijui kwanini huu ujuaji wa mambo ya US hatu utumii hapa kwetu ili tujikomboe walau na umaskini wa Ncji yetu.
Tunaweza sasa ? Kazi yetu kubwa kuconnect dot umbeq wa mange kimambi na kina dr mwake na phd tetere
 
Marekani inaongozwa na dark suit men hawa ndo wanaamua Rais awe nani na lengo lao kubwa ni NWO uyo biden kawekwa na watu lengo kutimiza agenda zao pole sana ila ipo siku ubongo wako utafunguka.

Ukiwa unachambua hivi kwenye kijiwe cha kahawa wanahisi unaakili sana kumbe ni kilaza anaetembea,
 
US ni wanyama sana ingekuwa baloon la US lipo anga la China wachina wasingejua wafanye nini mavi kitambaani
Hiiii Yani ka puto tu ndo mnakuza mada hivi. Mi nikajua li dude Fulani hv kubwaa lilirushwa hewani .
 
Back
Top Bottom