Biden aweka record ya ajira 6.6 milioni ndani ya mwaka 1

Biden aweka record ya ajira 6.6 milioni ndani ya mwaka 1

5525

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5,412
Reaction score
6,279
Ndivyo nilivyosoma kupitia ukurasa wa CNN asubuhi hii, Biden amevunja record ya ajira kwa 6.6 million added kuliko marais wote waliowahi kushika madaraka marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja toka aingie madarakani.

Kuna watu humu walijaribu kutaka kulinganisha utawala wake na aliyepita Bw Trump ambaye alidumu kwa awamau moja tu akatika uongozi wake na kushindwa kwa kishindo kitakatifu dhidi ya Biden mwaka mmoja uliopita.

Na hii ndio ilikuwa kiu kubwa kwa Wamarekani walio wengi zaidi kuona wanapata ajira na kunufaika na nchi yao.

Natanguliza shukurani
 
CNN huwezi kuilinganisha na tbc ya ccm aisee. CNN walishawah kimwambia trump sio Kaz Yao kutetea marekani. Hiyo ni Kaz ya raisi.
 
Source, CNN - Democrats hapa kama TBC na CCM tu
Labor department ndio taasisi inayoripoti idadi za ajira kila mwezi (inafahamija kama non farm payroll). Ikiwa huamini CNN unaweza Fanya hesabu mwenyewe Kwa kutembelea tovuti yao.
 
Labor department ndio taasisi inayoripoti idadi za ajira kila mwezi (inafahamija kama non farm payroll). Ikiwa huamini CNN unaweza Fanya hesabu mwenyewe Kwa kutembelea tovuti yao.
Acha nisubiri taarifa tbc
 
Huku Tanzania Serikali ilishajivua majukumu ya kuhusu ajira.
 
Ndivyo nilivyosoma kupitia ukurasa wa CNN asubuhi hii, Biden amevunja record ya ajira kwa 6.6 million added kuliko marais wote waliowahi kushika madaraka marekani kwa kipindi cha mwaka mmoja toka aingie madarakani.

Kuna watu humu walijaribu kutaka kulinganisha utawala wake na aliyepita Bw Trump ambaye alidumu kwa awamau moja tu akatika uongozi wake na kushindwa kwa kishindo kitakatifu dhidi ya Biden mwaka mmoja uliopita.

Na hii ndio ilikuwa kiu kubwa kwa Wamarekani walio wengi zaidi kuona wanapata ajira na kunufaika na nchi yao.

Natanguliza shukurani
Na kuongezeka kwa idadi ya mashoga pia amevunja rekodi
 
Back
Top Bottom