Biden hakukosea ndio mpango uliokuwepo, ila ametoa Siri kizembe. USA walimshindwa Castro, watamuweza Putin?

Biden hakukosea ndio mpango uliokuwepo, ila ametoa Siri kizembe. USA walimshindwa Castro, watamuweza Putin?

Wanatambua wana deal na jasus ,hawadiriki hata kukaa vikao na kupanga Hilo ,Kama hamjui Putin Alisha sign Sheria ya kutambua adui wa Taifa lao namba Moja ni USA, hao maofisa wa CIA wanachunguzwa na Russia Kila nukta wanayoipitia unategemea Nini hapo
 
Back
Top Bottom