MakinikiA JF-Expert Member Joined Jun 7, 2017 Posts 5,104 Reaction score 6,827 Jul 9, 2022 #41 Wanatambua wana deal na jasus ,hawadiriki hata kukaa vikao na kupanga Hilo ,Kama hamjui Putin Alisha sign Sheria ya kutambua adui wa Taifa lao namba Moja ni USA, hao maofisa wa CIA wanachunguzwa na Russia Kila nukta wanayoipitia unategemea Nini hapo
Wanatambua wana deal na jasus ,hawadiriki hata kukaa vikao na kupanga Hilo ,Kama hamjui Putin Alisha sign Sheria ya kutambua adui wa Taifa lao namba Moja ni USA, hao maofisa wa CIA wanachunguzwa na Russia Kila nukta wanayoipitia unategemea Nini hapo
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Jul 9, 2022 #42 Mpinzire said: Japo wanatamani lakini hawawezi kujaribu kumuua Putin kwa njia kama Qassim Suleiman! Ile njia wakijaribu litatoka kombora Nuclear mpaka Washington. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wakjimix ujue biden atakaangwa akiwa Washington DC akiambatana na safu yake ya CIA πππ
Mpinzire said: Japo wanatamani lakini hawawezi kujaribu kumuua Putin kwa njia kama Qassim Suleiman! Ile njia wakijaribu litatoka kombora Nuclear mpaka Washington. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Wakjimix ujue biden atakaangwa akiwa Washington DC akiambatana na safu yake ya CIA πππ