Biden invited 110 Countries - Summit for Democracy, Tanzania mpya haimo!

Biden invited 110 Countries - Summit for Democracy, Tanzania mpya haimo!

Mbuyu ulianza kama uyoga. Viongozi wa CCM na Tanzania: hivi likitokea kundi la ma captain wakaangusha serikali kwa sababu tu ya nafasi ngumu waliyotuweka kidemokrasia na kiutawala bora mtamlilia nani? Mtajiteteaje kwenye jumuia za kimataifa? Nyie katika kundi la watanzania milioni 60 mko 2000 tu (0.00000033%) lakini mnatuponza! Jifikirieni.
 
Summit for Democracy: Invited Participants

Albania
Angola
Antigua and Barbuda
Argentina
Armenia
Australia
Austria
Bahamas
Barbados
Belgium
Belize
Botswana
Brazil
Bulgaria
Cabo Verde
Canada
Chile
Colombia
Costa Rica
Croatia
Cyprus
Czech Republic
Democratic Republic of Congo
Denmark
Dominica
Dominican Republic
Ecuador
Estonia
Fiji
Finland
France
Georgia
Germany
Ghana
Greece
Grenada
Guyana
Iceland
India
Indonesia
Iraq
Ireland
Israel
Italy
Jamaica
Japan
Kenya
Kiribati
Kosovo
Latvia
Liberia
Lithuania
Luxembourg
Malawi
Malaysia
Maldives
Malta
Marshall Islands
Mauritius
Mexico
Micronesia
Moldova
Mongolia
Montenegro
Namibia
Nauru
Nepal
Netherlands
New Zealand
Niger
Nigeria
North Macedonia
Norway
Pakistan
Palau
Panama
Papua New Guinea
Paraguay
Peru
Philippines
Poland
Portugal
Romania
Saint Kitts and Nevis
Saint Lucia
Saint Vincent and the Grenadines
Samoa
Sao Tome and Principe
Senegal
Serbia
Seychelles
Slovakia
Slovenia
Solomon Islands
South Africa
South Korea
Spain
Suriname
Sweden
Switzerland
Taiwan
Timor-Leste
Tonga
Trinidad and Tobago
Tuvalu
Ukraine
United Kingdom
Uruguay
Vanuatu
Zambia


Look up for Burundi, Rwanda, Ethiopia and Uganda. If they are on the list but Tanzania is not then air out your blames seriously!
Otherwise you just known what others knew since 2015.
 
Summit for Democracy: Invited Participants

Albania
Angola
Antigua and Barbuda
Argentina
Armenia
Australia
Austria
Bahamas
Barbados
Belgium
Belize
Botswana
Brazil
Bulgaria
Cabo Verde
Canada
Chile
Colombia
Costa Rica
Croatia
Cyprus
Czech Republic
Democratic Republic of Congo
Denmark
Dominica
Dominican Republic
Ecuador
Estonia
Fiji
Finland
France
Georgia
Germany
Ghana
Greece
Grenada
Guyana
Iceland
India
Indonesia
Iraq
Ireland
Israel
Italy
Jamaica
Japan
Kenya
Kiribati
Kosovo
Latvia
Liberia
Lithuania
Luxembourg
Malawi
Malaysia
Maldives
Malta
Marshall Islands
Mauritius
Mexico
Micronesia
Moldova
Mongolia
Montenegro
Namibia
Nauru
Nepal
Netherlands
New Zealand
Niger
Nigeria
North Macedonia
Norway
Pakistan
Palau
Panama
Papua New Guinea
Paraguay
Peru
Philippines
Poland
Portugal
Romania
Saint Kitts and Nevis
Saint Lucia
Saint Vincent and the Grenadines
Samoa
Sao Tome and Principe
Senegal
Serbia
Seychelles
Slovakia
Slovenia
Solomon Islands
South Africa
South Korea
Spain
Suriname
Sweden
Switzerland
Taiwan
Timor-Leste
Tonga
Trinidad and Tobago
Tuvalu
Ukraine
United Kingdom
Uruguay
Vanuatu
Zambia


this is Good move globally. Tutaona wale kenge wanaojicganganya na Mamba.😅😅😅
 
Look

Look up for Burundi, Rwanda, Ethiopia and Uganda. If they are on the list but Tanzania is not then air out your blames seriously!
Otherwise you just known what others knew since 2015.
Madikiteta hapo hawana nafasi.
 
tanzania kwenda kwenye huo mkutano ni sawa na mwamwindi kujiunga na vyama vya ushirika
 
Huko Libya na Siria sababu ni madikiteta wenyewe. Hivi Imagine kama Uganda kikinuka utalauma mabeberu??
 
Not bad wakuu

Hao watu wakikuita nia yao ni kukupanga tu

Usijisifie kuitwa na mmarekani
Fungu la kukosa anapojitetea. Biden akisema wakati ua UN conference 2021 US itakuwa rafiki wa Nchi za kidemokrasia tu.
 
Demokrasia gani ipo Tanzania, ile ya Wilson Mahera na Jaji Kaijage ambao kabla ya Uchaguzi walienda "kuonana" na Magu Kwanza
Tanzania ni nchi onayotawaliwa kidikteta japo sio wa mtu ni wa Chama.
Walio nje wanatuona mpaka uvunguni.
Wanadhani wazungu ni mazuzu kama wao
 
Tanzania tayari tunademokrasia karibu sawa na Marekani,

Unataka atualike tujafanye nini?

Mwenye Afya hahitaji Tabibu mkuu
Wewe jifanye tu jeuri na madeni yako lukuki kwa wenye ku-control hela
 
Fungu la kukosa anapojitetea. Biden akisema wakati ua UN conference 2021 US itakuwa rafiki wa Nchi za kidemokrasia tu.
Wakati wao ndio wafadhili nambari 1 wa kuua democracy

To them democracy means you are agreeing with them
 
Back
Top Bottom