Rais wa Marekani, Joseph Biden ametangaza rasmi kwa taifa lake kwamba leo Jumapili ya Pasaka Tarehe 31 Machi ni siku rasmi na maalumu ya kuonyesha mwonekano kwa watu wote waliobadili jinsia,
Trump ameonyesha kukasirishwa kwa maamuzi haya na kumsihi Biden awaombe msamaha mamilioni ya wakristo, Baadhi ya ratiba za ikulu ya Marekani (whitehouse) zilizohusu pasaka miaka ya nyuma zimefutwa ili kupisha siku ya Transgender visibility day,
View: https://twitter.com/POTUS/status/1774511985700352189
Trump ameonyesha kukasirishwa kwa maamuzi haya na kumsihi Biden awaombe msamaha mamilioni ya wakristo, Baadhi ya ratiba za ikulu ya Marekani (whitehouse) zilizohusu pasaka miaka ya nyuma zimefutwa ili kupisha siku ya Transgender visibility day,
View: https://twitter.com/POTUS/status/1774511985700352189