ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 749
- 2,533
November Biden na Trump wanaingia tena kwenye Uchaguzi wa Uraisi kama Wagombea kwenye vyama vyao.
Uchaguzi wa 2020, Biden alimshinda Trump kwa kura nyingi tu. Trump alikuwa raisi wa muhula mmoja
Safari hii wanakutana tena na Biden bado anaonekana kumshinda Trump. Takwimu zinaonesha hivyo
Raisi Biden amefanya vizuri sana kwenye Uchumi. Vilevile Biden kafanya vizuri kuhandle Vita ya Ukraine.
Wachumbuzi mbalimbali wa masuala ya siasa za Marekani wanasema Biden anashinda tena uchaguzi wa mwaka huu
Uchaguzi wa 2020, Biden alimshinda Trump kwa kura nyingi tu. Trump alikuwa raisi wa muhula mmoja
Safari hii wanakutana tena na Biden bado anaonekana kumshinda Trump. Takwimu zinaonesha hivyo
Raisi Biden amefanya vizuri sana kwenye Uchumi. Vilevile Biden kafanya vizuri kuhandle Vita ya Ukraine.
Wachumbuzi mbalimbali wa masuala ya siasa za Marekani wanasema Biden anashinda tena uchaguzi wa mwaka huu