Biden: Ni Wajibu wa Marekani kuisaidia Israel hadi itakapohakikisha Hamas imefutika na wamebaki raia Wema wa Palestine!

Lugha nzuri ni ipi..πŸ˜›πŸ˜›
 
Sasa marekani ilishindwa Vietnam, Somalia, Afghanistan. Na sasa Ukraine inapumulia mashine. Ni kitu gani hicho kinachoipa confidence kuwa Inaweza kuisaidia Israel?

BWANA asipolinda mji, aulindaye afanya kazi bure
Israel lobbyists na Zionist Sympathizers ndio wanaotawala Marekani.

Asilimia kubwa ya silaha zinazoua wapalestina kule Gaza zimetoka Marekani.
 
Rais Biden amesema ni Wajibu wa Marekani kuisaidia Israel hadi kundi la Hamas litakapoangamizwa kabisa na kubakia raia Wema wa Palestine

Biden amesema ana hakika mwisho wa Magaidi wa Hamas umefika

Source BBC news
Roho za majeshi ya Isreal yanayoteketea atazirejesha?
 
Rais Biden amesema ni Wajibu wa Marekani kuisaidia Israel hadi kundi la Hamas litakapoangamizwa kabisa na kubakia raia Wema wa Palestine

Biden amesema ana hakika mwisho wa Magaidi wa Hamas umefika

Source BBC news
Mwambie atabaki kuota, si yeye wala Netanyahu wanauwezo wa kupigana na Hamasi.

Hamasi ni super power nchi inafungiwa mpaa chakula na bado mmeishindwa πŸ˜„


View: https://youtu.be/0zn7_gLNKpg?si=yTFX4Q0KsQ-yUQDb
Aibu hi sijui wataificha wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…