Bidhaa 10 ambazo huruhusiwi kuziingiza Tanzania

. SANAMU ZA NGONO (SEX TOYS)
Kama ilivyo katika nchi nyingi za Afrika, Tanzania pia inakataza kuingiza sanamu za kufanyia ngono kama vile uume bandia (dildos, vibrators), vinyamkera mahaba n.k

PONOGRAFIA
Bidhaa kama vile majarida, vitabu, mikanda ya video/audio au maudhui ya ngono yaliyo katika mfumo wowote, haviruhusiwi kuingizwa Tanzania aidha kwa biashara au matumizi binafsi


Unazungumzia Tanzania hii hii🤔🤔⁉️‼️
 
Agiza pepper spray nadhani ni legal,, walinitiaga viwembe maeneo ya keko machungwa pale nikaipataga,, nasubiria siku waje tena
 
Stun gun zinazuruhusiwa,wanachotska Tanganyika Arms ni Barua ya dhamana pamoja na picha nne,kazi inakua imeisha.
 
Wanakataza lakini ndio zimejaa kama hawajakataza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…