stewie
Senior Member
- Sep 30, 2019
- 118
- 281
🔹Audio Card readers za watoto
-: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk
-: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji na inakuja na usb yake ya kuchajia pia ina nyimbo ya alphabets
Bei 28,000 Tsh
🔹Bidhaa ya pili ni baby feeders.
-Rahisishia mama kazi ya kulisha mtoto miezi sita kuendelea
-Material ni silicon so ni salama hata mtoto aking'ata hawezi umia
-Unaweka chakula ndani mfano mtori kisha unaminya na inatoa chakula mtoto atakula bila kujikwagia chakula na ni rahisi kuosha
Bei 9,500 Tsh
🔹Bidhaa ya 3 ni Head safety caps za watoto wanaoanza kutambaa na kutemebea
-Inalinda kichwa cha mtoto akidondoka asiumie pale akianza jifunza kutambaa na kutembea, ni adjustable na rahisi kufulika
-Epusha mwanao kupata head injuries utotoni asije tusumbua huku jamiiforums akiwa mkubwa 🤣
Bei 16,000 Tsh
🔹Bidhaa ya 4 ni safety car seats strap za watoto
-Kwa wazazi wenye magari hizi unaweka pale seat ya nyuma inafungwa na mikanda yake so mtoto atakua salama ukiendesha gari
-Ni rahisi sana kuifunga na hii ni bei nzuri sio kama zile kubwa za laki nne huko
-inafaa mtoto wa hadi miaka minne
Bei 29,000 tsh
Nipo Dar es Salaam, Sinza.. Call 0712870612 karibuni sana.
-: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk
-: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji na inakuja na usb yake ya kuchajia pia ina nyimbo ya alphabets
Bei 28,000 Tsh
🔹Bidhaa ya pili ni baby feeders.
-Rahisishia mama kazi ya kulisha mtoto miezi sita kuendelea
-Material ni silicon so ni salama hata mtoto aking'ata hawezi umia
-Unaweka chakula ndani mfano mtori kisha unaminya na inatoa chakula mtoto atakula bila kujikwagia chakula na ni rahisi kuosha
Bei 9,500 Tsh
🔹Bidhaa ya 3 ni Head safety caps za watoto wanaoanza kutambaa na kutemebea
-Inalinda kichwa cha mtoto akidondoka asiumie pale akianza jifunza kutambaa na kutembea, ni adjustable na rahisi kufulika
-Epusha mwanao kupata head injuries utotoni asije tusumbua huku jamiiforums akiwa mkubwa 🤣
Bei 16,000 Tsh
🔹Bidhaa ya 4 ni safety car seats strap za watoto
-Kwa wazazi wenye magari hizi unaweka pale seat ya nyuma inafungwa na mikanda yake so mtoto atakua salama ukiendesha gari
-Ni rahisi sana kuifunga na hii ni bei nzuri sio kama zile kubwa za laki nne huko
-inafaa mtoto wa hadi miaka minne
Bei 29,000 tsh
Nipo Dar es Salaam, Sinza.. Call 0712870612 karibuni sana.