Bidhaa tofauti za watoto zinauzwa kwa bei rafiki

Bidhaa tofauti za watoto zinauzwa kwa bei rafiki

stewie

Senior Member
Joined
Sep 30, 2019
Posts
118
Reaction score
281
🔹Audio Card readers za watoto
-: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk
-: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji na inakuja na usb yake ya kuchajia pia ina nyimbo ya alphabets
Bei 28,000 Tsh

🔹Bidhaa ya pili ni baby feeders.
-Rahisishia mama kazi ya kulisha mtoto miezi sita kuendelea
-Material ni silicon so ni salama hata mtoto aking'ata hawezi umia
-Unaweka chakula ndani mfano mtori kisha unaminya na inatoa chakula mtoto atakula bila kujikwagia chakula na ni rahisi kuosha
Bei 9,500 Tsh

🔹Bidhaa ya 3 ni Head safety caps za watoto wanaoanza kutambaa na kutemebea
-Inalinda kichwa cha mtoto akidondoka asiumie pale akianza jifunza kutambaa na kutembea, ni adjustable na rahisi kufulika
-Epusha mwanao kupata head injuries utotoni asije tusumbua huku jamiiforums akiwa mkubwa 🤣
Bei 16,000 Tsh

🔹
Bidhaa ya 4 ni safety car seats strap za watoto
-Kwa wazazi wenye magari hizi unaweka pale seat ya nyuma inafungwa na mikanda yake so mtoto atakua salama ukiendesha gari
-Ni rahisi sana kuifunga na hii ni bei nzuri sio kama zile kubwa za laki nne huko
-inafaa mtoto wa hadi miaka minne
Bei 29,000 tsh

Nipo Dar es Salaam, Sinza.. Call 0712870612 karibuni sana.
039910CA-FD5B-4E9E-B7CF-D74DC0FDDD7B.jpeg
5C51A445-3172-4CFA-B5B0-E8E83A980C69.jpeg
5B6E751E-C145-4078-92D0-84FCE6ABD4A2.jpeg
DBD3A774-EBD2-4700-B6F3-66DCD9D6318B.jpeg
C7177F25-2BBF-4B5A-A6F8-24308DEF7226.jpeg
 
Subiri wa kishua waje sisi wa majimatitu utasabisha turogwe bure watoto wetu wakiwanavyo hivo vitu.
hiyo ya kulisha mtoto bei poa tu huwezi logwa kisa buku 9 mwamba 😂
 
Back
Top Bottom