Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Bidhaa zinazoingia nchini Kenya kutoka nchini Tanzania na Uganda hasa Vitunguu Maji na Mayai vimeongezewa tozo katika bajeti iliyoanza kutekelezwa jana July 1 2021.
Licha ya makubalino ya Rais Samia na Rais Kenyata miezi michache iliyopita walikubaliana kuondoa vikwazo vya kila aina katika biashara za nchi hizi mbili.
Kenya wanarufundisha nini?
Licha ya makubalino ya Rais Samia na Rais Kenyata miezi michache iliyopita walikubaliana kuondoa vikwazo vya kila aina katika biashara za nchi hizi mbili.
Kenya wanarufundisha nini?