Bidhaa toka Tanzania na Uganda zapandishiwa Tozo nchini Kenya

Bidhaa toka Tanzania na Uganda zapandishiwa Tozo nchini Kenya

Bidhaa zinazoingia nchini Kenya kutoka nchini Tanzania na Uganda hasa Vitunguu Maji na Mayai vimeongezewa tozo katika bajeti iliyoanza kutekelezwa jana July 1 2021.

Licha ya makubalino ya Rais Samia na Rais Kenyata miezi michache iliyopita walikubaliana kuondoa vikwazo vya kila aina katika biashara za nchi hizi mbili.

Kenya wanarufundisha nini?View attachment 1838050
Leta ushahidi wa tozo zilizoongezwa. Vinginevyo hizo ni propaganda tu za kuichafua Kenya.
 
Katika jumuiya ya Afrika Mashariki hakuna nchi ambazo raia wake huwa wanatuona watz maboya kama Kenya na Rwanda. Hawa kiboko yao ilikuwa Magufuli tu, huyu mama hawawezi kabisa, Wakenya ndio pumbavu kabisa.Mkumbuke kuwa kwa ushenzi huu huu Mwalimu Nyerere zilikuwa haziivi na Jommo Kenyatta.
Kwa sababu Mzee Kenyatta alimchana ukweli anaongoza maiti
 
Hatuna Rais kwa sasa, tuvumilie tu ujinga wowote kutoka kwa majirani, mama ukimsifia tu
unamteka akili kama binti mdogo anavyokenua akiwa anatongozwa tongozwa.
Niliwahi kuandika hivi kwenye mada fulani, mada nzima iliondolewa.

Lakini ukweli ndio huo. Mama ni mtu mwenye huruma, ni 'sentimental'. Kama uliwahi kuona video alipomtembelea Lissu hospitalini, Nairobi utatambua ninaloandika hapa.

Pengine uzoefu wa ofisi utamsaidia kidogo kuachana na hali hii, sijui.
 
Hiyo gesi bado sana mkuu, si Kenyatta wala Samia ataiona ikitiririka kuelekea huko.

Hiyo wanaiita ni 'MOU', hatua za mwanzo kabisa.

Lakini kama watalazimisha iharakishwe, ili hiyo gesi iwazalishie umeme wa bei nafuu Kenya ili watengeneze bidhaa nafuu za kutuuzia sisi, huku tukipeleka mali ghafi zetu kwao watengeneze vitu vyenye thamani kubwa, basi ubwege wetu utaendelea kujionyesha ulivyo.

Sasa hivi tunawauzia pamba (ghafi) watengeneze nguo . Kenya wamelishika vizuri sana soko la Marekani chini ya mpango wa AGOA, kuuza nguo huko, sisi maneno mareeeefu sana, hakuna chochote tunachouza huko Marekani ambacho ni cha maana. sana.

Tunawauzia mbao, wanatengeneza Samani, wanakuja kuuza hapa.

Mama anafurahi saaana hadi atapiga muruzi na kuimba "Nafungua Nchi", huku wenzake wakichekelea!

Inaudhi na kuumiza roho sana.
Kwani Kenya wametuzuia kuuza bidhaa zetu marekani?

Mbona pamba nyingi tunawauzia nchi za ulaya na China kuliko hata Kenya,shida iko wapi hapo?

Hoja yako ni ipi kwenye hili bandiko lako?
 
Kwani Kenya wametuzuia kuuza bidhaa zetu marekani?

Mbona pamba nyingi tunawauzia nchi za ulaya na China kuliko hata Kenya,shida iko wapi hapo?

Hoja yako ni ipi kwenye hili bandiko lako?
Ni wapi uliponisoma nikiandika kwamba "Kenya wanatuzuia kuuza bidhaa zetu marekani", mkuu kama siyo kukosa uelewa wako wa kilichoandikwa hapo!
 
Serikali yenyewe licha ya uwepo wa miti mingi hapa Furniture zote wananunua kutoka china na kwingineko badala ya kuwezesha wazalishaji wetu wa ndani kwa kununua bidhaa zao huoni tatizo ni la serikali iliyojaa watu wenye akili mfu ?
 
Hiyo gesi bado sana mkuu, si Kenyatta wala Samia ataiona ikitiririka kuelekea huko.

Hiyo wanaiita ni 'MOU', hatua za mwanzo kabisa.

Lakini kama watalazimisha iharakishwe, ili hiyo gesi iwazalishie umeme wa bei nafuu Kenya ili watengeneze bidhaa nafuu za kutuuzia sisi, huku tukipeleka mali ghafi zetu kwao watengeneze vitu vyenye thamani kubwa, basi ubwege wetu utaendelea kujionyesha ulivyo.

Sasa hivi tunawauzia pamba (ghafi) watengeneze nguo . Kenya wamelishika vizuri sana soko la Marekani chini ya mpango wa AGOA, kuuza nguo huko, sisi maneno mareeeefu sana, hakuna chochote tunachouza huko Marekani ambacho ni cha maana. sana.

Tunawauzia mbao, wanatengeneza Samani, wanakuja kuuza hapa.

Mama anafurahi saaana hadi atapiga muruzi na kuimba "Nafungua Nchi", huku wenzake wakichekelea!

Inaudhi na kuumiza roho sana.
Aina ya viongozi tuliyo nayo inasadifu sisi ni watu wa aina gani.

Sasa kama hatuna aina ya viongozi ambao hawawezi kufikiri critically, basi hata sisi wengi wetu tupo hivyo,

Kama research inayosema only intelligent people cover 5 % of the said society,

Basi hali ni mbaya sana maana hao the 5% ambao ndio intelligent hawapo kabisa huko Kwa wanaofanya maamuzi. Au sijui tusemeje??
 
Ukitaka kumuua nyoka hakikisha unakiponda kichwa
 
Screenshot_20210703-075210.jpg
 
Back
Top Bottom