KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mimi nawahimiza Kenya wakaze zaidi ya hapo.Wenye mamlaka msipojifunza kwenye hili,
Litakalokuja litapiga penyewe
Kenya ni failed state, kila mtu anapambana apate chake
Hawana uaminifu kwenye ushirikiano
Kama mlijua Magu ana wivu nao, subirini.
Leta ushahidi wa tozo zilizoongezwa. Vinginevyo hizo ni propaganda tu za kuichafua Kenya.Bidhaa zinazoingia nchini Kenya kutoka nchini Tanzania na Uganda hasa Vitunguu Maji na Mayai vimeongezewa tozo katika bajeti iliyoanza kutekelezwa jana July 1 2021.
Licha ya makubalino ya Rais Samia na Rais Kenyata miezi michache iliyopita walikubaliana kuondoa vikwazo vya kila aina katika biashara za nchi hizi mbili.
Kenya wanarufundisha nini?View attachment 1838050
We taga huachagi tu maujinga yako. Chuki kwa mama itakuua.Hatuna Rais kwa sasa, tuvumilie tu ujinga wowote kutoka kwa majirani, mama ukimsifia tu
unamteka akili kama binti mdogo anavyokenua akiwa anatongozwa tongozwa.
Kwa sababu Mzee Kenyatta alimchana ukweli anaongoza maitiKatika jumuiya ya Afrika Mashariki hakuna nchi ambazo raia wake huwa wanatuona watz maboya kama Kenya na Rwanda. Hawa kiboko yao ilikuwa Magufuli tu, huyu mama hawawezi kabisa, Wakenya ndio pumbavu kabisa.Mkumbuke kuwa kwa ushenzi huu huu Mwalimu Nyerere zilikuwa haziivi na Jommo Kenyatta.
Niliwahi kuandika hivi kwenye mada fulani, mada nzima iliondolewa.Hatuna Rais kwa sasa, tuvumilie tu ujinga wowote kutoka kwa majirani, mama ukimsifia tu
unamteka akili kama binti mdogo anavyokenua akiwa anatongozwa tongozwa.
Kwani Kenya wametuzuia kuuza bidhaa zetu marekani?Hiyo gesi bado sana mkuu, si Kenyatta wala Samia ataiona ikitiririka kuelekea huko.
Hiyo wanaiita ni 'MOU', hatua za mwanzo kabisa.
Lakini kama watalazimisha iharakishwe, ili hiyo gesi iwazalishie umeme wa bei nafuu Kenya ili watengeneze bidhaa nafuu za kutuuzia sisi, huku tukipeleka mali ghafi zetu kwao watengeneze vitu vyenye thamani kubwa, basi ubwege wetu utaendelea kujionyesha ulivyo.
Sasa hivi tunawauzia pamba (ghafi) watengeneze nguo . Kenya wamelishika vizuri sana soko la Marekani chini ya mpango wa AGOA, kuuza nguo huko, sisi maneno mareeeefu sana, hakuna chochote tunachouza huko Marekani ambacho ni cha maana. sana.
Tunawauzia mbao, wanatengeneza Samani, wanakuja kuuza hapa.
Mama anafurahi saaana hadi atapiga muruzi na kuimba "Nafungua Nchi", huku wenzake wakichekelea!
Inaudhi na kuumiza roho sana.
Ni wapi uliponisoma nikiandika kwamba "Kenya wanatuzuia kuuza bidhaa zetu marekani", mkuu kama siyo kukosa uelewa wako wa kilichoandikwa hapo!Kwani Kenya wametuzuia kuuza bidhaa zetu marekani?
Mbona pamba nyingi tunawauzia nchi za ulaya na China kuliko hata Kenya,shida iko wapi hapo?
Hoja yako ni ipi kwenye hili bandiko lako?
Aina ya viongozi tuliyo nayo inasadifu sisi ni watu wa aina gani.Hiyo gesi bado sana mkuu, si Kenyatta wala Samia ataiona ikitiririka kuelekea huko.
Hiyo wanaiita ni 'MOU', hatua za mwanzo kabisa.
Lakini kama watalazimisha iharakishwe, ili hiyo gesi iwazalishie umeme wa bei nafuu Kenya ili watengeneze bidhaa nafuu za kutuuzia sisi, huku tukipeleka mali ghafi zetu kwao watengeneze vitu vyenye thamani kubwa, basi ubwege wetu utaendelea kujionyesha ulivyo.
Sasa hivi tunawauzia pamba (ghafi) watengeneze nguo . Kenya wamelishika vizuri sana soko la Marekani chini ya mpango wa AGOA, kuuza nguo huko, sisi maneno mareeeefu sana, hakuna chochote tunachouza huko Marekani ambacho ni cha maana. sana.
Tunawauzia mbao, wanatengeneza Samani, wanakuja kuuza hapa.
Mama anafurahi saaana hadi atapiga muruzi na kuimba "Nafungua Nchi", huku wenzake wakichekelea!
Inaudhi na kuumiza roho sana.
Mama ni famba kichwani hakuna kitu kama mkweleUkiona Adui analishangilia ni jiulize wapi umekosea lakini ukiona kanuna basi umempiga sio maneno yangu ya mzee hayo
Mam akae chin ajiulize
Wewe wasemaMimi siyo Chadema, ila nilitamani tu kufahamu iwapo unapenda kuitumia hii njia, au la! Maana unaonekana una uzoefu nayo!!
HahahaAngekuwepo uncle Magu walahi wangeomba Po! Hizi ligi ndo zilikua zake! Yaani angereciprocate kesho nyang'au wangeamkia Dsm.
Yaan wangepanda ndege kwenda ikulu ya mzee chimbo chattleAngekuwepo uncle Magu walahi wangeomba Po! Hizi ligi ndo zilikua zake! Yaani angereciprocate kesho nyang'au wangeamkia Dsm.
Muong mkubwa huy mimi siungi mkono hoja hiyo