Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Muong mkubwa huy mimi siungi mkono hoja hiyo
Moja Ujerumani wamejenga uchumi mkubwa je kulikuwa demokrasia
Mbili china inauchumi mkubwa je kuna demokrasia hayo ni mawazo ya wasio na uthubutu mkuu na wenye kuona mawazo ya nje
Hauko salama kwa fake ID na uhuru usio na adabu utalipia,chunga ulimi wakoMama ni famba kichwani hakuna kitu kama mkwele
Nyang'au katika ubora wao!! Jamaa hawa hujisikia fahari sana wanapoonyesha unyang'au!! Inabidi tukubali tu kuwa unyang'au ndiyo sera ya jirani!! No way out !!Politics in actions..
Ukimsikiliza Uhuru alivyoongea pale Kenya wakati Mama Sasha amefanya ziara huwezi amini kama kweli kapandisha tozo.
Mm situation fake IDHauko salama kwa fake ID na uhuru usio na adabu utalipia,chunga ulimi wako
Unyang'au ndio sera zao, ni lazima uwe nyang'au na hawa.Nyang'au katika ubora wao!! Jamaa hawa hujisikia fahari sana wanapoonyesha unyang'au!! Inabidi tukubali tu kuwa unyang'au ndiyo sera ya jirani!! No way out !!