Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na suala la Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi watuachie sisi Wananchi wenyewe tutaamua wasituingilie wao waendelee na mambo yao mengineKwani CHADEMA na ACT ndio wanashughulikia masuala ya bei za vitu ?
Si kuna wabunge lukuki ambao ni wawakilishi wa wananchi ?
Una washwwawashwwa kama huo utomvu wa Agemona mexicana umoNaelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.
Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.
Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
acha wazimu chadema wafanye nn sasa ndo wenye serikali? Endeleeni kuisoma namba mama anaupiga mwingi.Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.
Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.
Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.