Bidhaa za msingi zinapanda bei, CHADEMA mko kimya kabisa kama vile hamuoni

Bidhaa za msingi zinapanda bei, CHADEMA mko kimya kabisa kama vile hamuoni

Wananchi wa chini ndio tunaoumia
 
Kwani CHADEMA na ACT ndio wanashughulikia masuala ya bei za vitu ?

Si kuna wabunge lukuki ambao ni wawakilishi wa wananchi ?
Na suala la Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi watuachie sisi Wananchi wenyewe tutaamua wasituingilie wao waendelee na mambo yao mengine
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
Una washwwawashwwa kama huo utomvu wa Agemona mexicana umo
 
Hawa wapuuzi wana Nufaika na Hathari hii. Ndio maana hawaongei hawa ni Mbwa mwitu ndani ya Mwili wa kondoo.

Walimzodoa Mzalendo wetu Magufuli Ambaye Alikua bega kwa Bega na wananchi wake hakutaka Wananchi wake Wapate shida.

Leo Mitozo kila maali mifumuko ya bei kila kukicha huyasikii yakiongea Majizi haya. [emoji20]
 
Naelekeza lawana hizi kwa chama kikuu cha upinzani yaani CHADEMA, hivi zile kelele kipindi cha JPM mmeziweka wapi? Mafuta ya kula bei inazidi kupaa, petrol haikamatiki, vifaa vya ujenzi huko ndio balaa na kama mtu hakujenga nyumba awamu zilizopita nakupa pole Sana.

Lawama zingine nazielekeza kwa Zitto Zuber Kabwe pamoja na mh. Mbowe featuring na mzee wa ubelgiji mr.Tundu Antipass, mmetuharibia upinzani wenye maslahi kwa taifa mmetuachia upinzani uliolemaa wa covid 19.

Staki kulaumu CCM hata kidogo maana yote haya yamesababishwa na upinzani legelege.
acha wazimu chadema wafanye nn sasa ndo wenye serikali? Endeleeni kuisoma namba mama anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom