kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Maji ya mende na umuhimu wake. Naona waruhusu tu yapigwe kuanzia asubuhi mpaka usiku wa manane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Qur'an inayosema hivyo labda hio Qur'an imetungwa US au Israel. We huwezi badilisha Qur'an hata siku moja, Qur'an imehifadhiwa hata na mtoto mdogo wa KISLAM.Kuna ile surat kwenye Quran al-mukhtar de Orodha (4:291):
Enyi Waislam msihofu wala kuhuzunika na kusikitika mnaposemwa na kudhihakiwa kwenye imani yenu. Kwani hilo likiwatokea mtafute tu kichaka pembeni mchuchumae na kunya/kujisaidia kwani Allah mwingi wa rehma kwa kuwafariji na kuwajali atamtuma malaika wake kipenzi Jibril aje awatawadhe Pindi tu mtakapomaliza kunya.
Adiosamigo Hammaz Jagina
Nyau de adriz
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Ndiyo, watu wasipolewa uchumi utayumba. Watu wakilewa watayumba wao, uchumi hautayumba. Watu wasipolewa uchumi utalewa na kuyumba.Duh kwa hivyo watu wasipolewa uchumi utayumba
Tanzania hakuna umri wa kulewa, kule njombe vichanga vinapigishwa ulanzi vilale wakubwa wafanyekazi. Vikifika miaka 2 vinajitegemeà kulewa.Hahaha, kwanini tusi hamasishe wapunguze umri wa kuanza kulewa ili kuongeza asilimia ya wajenga nchi. Kundi kubwa la vijana chini ya umri wa miaka 18 wanaweza kusaidia kuongeza hiii idadi kufikia Trilioni kwa mwaka.
Duuuh watu hawajengi aiseee ,sigara kumbe ina watumiaji wengi sana.SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Nafaka????SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Zinafungwa Hadi za 200/=Tsh.Yap, nenda kijijin kama utakuta mtu anapikia gesi ila sukari lazima atie sukari
Sijaiona bidhaa za Kilimo hapoSOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Yaani pamoja na kupingwa sana na akina Janabi, walokole etc bado bia imeshika nafasi ya pili..!! Sema nini, inasaidiwa sana na kitimoto..!!SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Nafikiri zinazidiana kwa kutozwa kodiyani nashangaa gesi inazidiwa mpk na sukari why...????
ili tusinyweNafikiri zinazidiana kwa kutozwa kodi
Zingine kodi ziko juu zaidi
Ila wangeongeza zaidi kwenye ulevi, sigara na fuel
zinachangia chini ya 50%ya bajeti?SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Nahisi kama nimeona kitu cha ziada, hio ni huawei ngapikitu cha bia
View attachment 3157794
Nadhani kuna haja zaidi ya kuwekeza katika unywaji wa pombe maana imeonesha jitihada za dhati katika kuboresha uchumi na hali ya kifedha nchini, nadhani ni muda muafaka sasa waondolewe vikwazo vya kibiashara ikibidi kuruhusu bar zifanye biashara saa 24 ili kukuza pato la Taifa.SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54