Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wewe jitunze halafu tukutane una leseni ya learner!Uta-vatekiwa hadi na bajaji.Oya Sasa ngoja nijitunze maana huku duniani ni madunga embe tu yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jitunze halafu tukutane una leseni ya learner!Uta-vatekiwa hadi na bajaji.Oya Sasa ngoja nijitunze maana huku duniani ni madunga embe tu yote
Huwa nikienda baa au club nikakuta wanawake wamevaa nguo ndefu huwa nahama hio baa🤣nakwosa Ile kitu inatakaBar ni sehemu takatifu vile tuna vichwa vigumu tu🤔
Wanywa bia wapewe maua yao.Shikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu
Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.
Walevi wapewe maua yao.
🤣Sasa mkuu ujue tushakubaliana kwenye kikao Marufuku kuoa ni kula hela zako mnyw Sasa si bora ntunze nguvu kwa ajili ya hao 72 mabikiraWewe jitunze halafu tukutane una leseni ya learner!Uta-vatekiwa hadi na bajaji.
Jumlisha nyama choma wanazokula kodi yake. jumlisha tena supu wanazoamka nazo ahsubuhi hawa ndio walipaji kodi nyingi tzShikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu
Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.
Walevi wapewe maua yao.
Waambie hao.Shauri yao.Mkuu kwanza pombe ina michongo ya maana
Sasa wee hawajakupa full info...ngoja nikusanue sasa. Huko ukweli wa mambo ni kwamba vibamia wote tutapewa de liboloz na nyie wenye de liboloz mtapewa vibamia.Ukizubaa unakwama.Wakiniangalia ninavyojidai mtoni kwenye mvinyo lazima wakukimbie.🤣
Mkuu kwa sisi manguli hivyo ni vitu vya kawaida , kula pombe baki kwenye mstari wako ukizidi unatafuta kupigwa visu vyenye kutu 😂😂😂Huwa nikienda baa au club nikakuta wanawake wamevaa nguo ndefu huwa nahama hio baa🤣nakwosa Ile kitu inataka
Nacheka huku mimi😁Yani anataka afe fresh!Hopeless kabisa.Afe ametumika.
Utaitwa dereva learner.Shauri yako.Tumika hadi mwili uombe pooh!🤣Sasa mkuu ujue tushakubaliana kwenye kikao Marufuku kuoa ni kula hela zako mnyw Sasa si bora ntunze nguvu kwa ajili ya hao 72 mabikira
Ah wee hapa napo ukipata chance ya kugegeda wengi wee gegeda tuu sii ndio burudani. Unaona wazee wa monde they dont spare any expense ikija suala la kumwagilia moyo.Oya Sasa ngoja nijitunze maana huku duniani ni madunga embe tu yote
Wewe hujambo?Nilikukumbuka sana mwayego!🙏Nacheka huku mimi😁
Mimi nashangaa mtu anashangaa mwanamke kunywa pombe🤔🤔🤔 juzi mama yangu ananipigia ananidai wine zake tena zile konki😂😂Nacheka huku mimi😁
Sasa ole wake nitakaemkuta akimbugudhi mlevi.Shikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu
Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.
Walevi wapewe maua yao.
Nyie wa Mikeka mmechangia ngapi? 😃Hongera mzee wa visungura kwa kuchangia pato la taifa johnthebaptist
Watuache..wine ni nzuri aiseMimi nashangaa mtu anashangaa mwanamke kunywa pombe🤔🤔🤔 juzi mama yangu ananipigia ananidai wine zake tena zile konki😂😂
Sijamboo..nye!Wewe hujambo?Nilikukumbuka sana mwayego!🙏
Uuse bee!Nikununulie ndosa nye!Sijamboo..nye!
Hahahah yanii pombe huwa ni tamu sana sijui wanywa vyoda wanafeli wapi aisee🤔🤔🤔Watuache..wine ni nzuri aise