Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana 🤣Kila asubuhi muwe mnawaamkia..."shikamoo waheshimiwa walevi".. !
Karibu sana.Napata CML hapa.Noma sana 🤣
Watu wanywe vinywajiKumbe kuuza monde ndio mpango mzima
CCM hawathamini matibabuNa vipi gharama za matibabu..., wamecost BIMA kiasi gani ?
Biashara kongwe na zenye kulipa.Hata Yesu alijaliza mabalasi kwa mvinyo saaafiii.Tukifa napo tutapatiwa 72 huku tunajigaragaza kwenye vijito vya ulabu.Itakuwa raha tupu sheikh!Kumbe kuuza monde ndio mpango mzima
Hatari mno. Prof Janabi anavyoponda pombe na walevi. Wakati kodi za walevi ndio zinamlipa mshahara na kuendesha mahospitali.Safi sana, Sisi ndio wanananchi tunaopaswa kupumua uongozi ukiongeza tu umakini kidogo🤔🤔🤔
Kodi za walevi ndio zinalipa mishahara madokta na kuendesha mahospitali na kujenga hospitaliNa vipi gharama za matibabu..., wamecost BIMA kiasi gani ?
Akilindogosana Ina wezekana 🤔🤔🤔Hatari mno. Prof Janabi anavyoponda pombe na walevi. Wakati kodi za walevi ndio zinamlipa mshahara na kuendesha mahospitali.
Kifo ni kifo.Unataka uishi sana ili utupe shida ya kukufunga visepe mkuu?Na vipi gharama za matibabu..., wamecost BIMA kiasi gani ?
Hatari 🤣