Bidhaa zinazoingiza mapato makubwa zaidi ya kikodi Tanzania 2023/24: Pombe yachangia bilioni 929

Bidhaa zinazoingiza mapato makubwa zaidi ya kikodi Tanzania 2023/24: Pombe yachangia bilioni 929

Safi sana, Sisi ndio wanananchi tunaopaswa kupumua uongozi ukiongeza tu umakini kidogo🤔🤔🤔
Kaka uko sector hii ? Hongera Sana.
Majuzi nilibahatisha hela Fulani nikasema siku nyingi sijaingja viwanja vikali maana nishiaga kwenye vilabu vya ulanzi .

Huyo mpaka maeneo Fulani makali nikiwa na kila laki changu ,hapo nile monde alafu nipate binti nikamuoneshe paka anayeongea kwangu .

La haula ,si nikamkuta bro mmoja alikuwa ananishauri kipindi Fulani kuacha pombe yeye ni engineer ila mpaka ilikuwa inafika muda anakuwa daktari akianza kunieleza habari za figo na maini ,naye yupo anapiga monde taratibu alafu kachangamka anaamka anacheza mziki taratibu 😀😀

Nikasema hiki kikombe sio Cha kitoto kila aliye na pumzi Hana budi kukionja
 
Kaka uko sector hii ? Hongera Sana.
Majuzi nilibahatisha hela Fulani nikasema siku nyingi sijaingja viwanja vikali maana nishiaga kwenye vilabu vya ulanzi .

Huyo mpaka maeneo Fulani makali nikiwa na kila laki changu ,hapo nile monde alafu nipate binti nikamuoneshe paka anayeongea kwangu .

La haula ,si nikamkuta bro mmoja alikuwa ananishauri kipindi Fulani kuacha pombe yeye ni engineer ila mpaka ilikuwa inafika muda anakuwa daktari akianza kunieleza habari za figo na maini ,naye yupo anapiga monde taratibu alafu kachangamka anaamka anacheza mziki taratibu 😀😀

Nikasema hiki kikombe sio Cha kitoto kila aliye na pumzi Hana budi kukionja
Huyo dokta/liganga/litabibu alikushauri vema.Hakupenda utumalizie bia zetu.😂😂😂🙏
 
Kaka uko sector hii ? Hongera Sana.
Majuzi nilibahatisha hela Fulani nikasema siku nyingi sijaingja viwanja vikali maana nishiaga kwenye vilabu vya ulanzi .

Huyo mpaka maeneo Fulani makali nikiwa na kila laki changu ,hapo nile monde alafu nipate binti nikamuoneshe paka anayeongea kwangu .

La haula ,si nikamkuta bro mmoja alikuwa ananishauri kipindi Fulani kuacha pombe yeye ni engineer ila mpaka ilikuwa inafika muda anakuwa daktari akianza kunieleza habari za figo na maini ,naye yupo anapiga monde taratibu alafu kachangamka anaamka anacheza mziki taratibu 😀😀

Nikasema hiki kikombe sio Cha kitoto kila aliye na pumzi Hana budi kukionja
😂😂😂Figo na maini anataka azikiwe nazo zikiwa nzima za kazi gani mkuu🚮
 
Shikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu

Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika

SOURCE: The Chanzo

1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54

Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.



Walevi wapewe maua yao.
Walevi no watu na nusu
 
Back
Top Bottom