Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Teh teh teh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka uko sector hii ? Hongera Sana.Safi sana, Sisi ndio wanananchi tunaopaswa kupumua uongozi ukiongeza tu umakini kidogo🤔🤔🤔
Mkuu ndio maana hata mchango wako huwa ni waakili nyingi sana mda wote , watu wanywe vinywaji asee🤔Watu wanywe vinywaji
Huyo dokta/liganga/litabibu alikushauri vema.Hakupenda utumalizie bia zetu.😂😂😂🙏Kaka uko sector hii ? Hongera Sana.
Majuzi nilibahatisha hela Fulani nikasema siku nyingi sijaingja viwanja vikali maana nishiaga kwenye vilabu vya ulanzi .
Huyo mpaka maeneo Fulani makali nikiwa na kila laki changu ,hapo nile monde alafu nipate binti nikamuoneshe paka anayeongea kwangu .
La haula ,si nikamkuta bro mmoja alikuwa ananishauri kipindi Fulani kuacha pombe yeye ni engineer ila mpaka ilikuwa inafika muda anakuwa daktari akianza kunieleza habari za figo na maini ,naye yupo anapiga monde taratibu alafu kachangamka anaamka anacheza mziki taratibu 😀😀
Nikasema hiki kikombe sio Cha kitoto kila aliye na pumzi Hana budi kukionja
Watu wengi wasiokunywa hawanaga akili wala utu.Nisamehewe.🤣🙏Mkuu ndio maana hata mchango wako huwa ni waakili nyingi sana mda wote , watu wanywe vinywaji asee🤔
😂😂😂Figo na maini anataka azikiwe nazo zikiwa nzima za kazi gani mkuu🚮Kaka uko sector hii ? Hongera Sana.
Majuzi nilibahatisha hela Fulani nikasema siku nyingi sijaingja viwanja vikali maana nishiaga kwenye vilabu vya ulanzi .
Huyo mpaka maeneo Fulani makali nikiwa na kila laki changu ,hapo nile monde alafu nipate binti nikamuoneshe paka anayeongea kwangu .
La haula ,si nikamkuta bro mmoja alikuwa ananishauri kipindi Fulani kuacha pombe yeye ni engineer ila mpaka ilikuwa inafika muda anakuwa daktari akianza kunieleza habari za figo na maini ,naye yupo anapiga monde taratibu alafu kachangamka anaamka anacheza mziki taratibu 😀😀
Nikasema hiki kikombe sio Cha kitoto kila aliye na pumzi Hana budi kukionja
Mkuu hii ipo wazi wala hauhitaji kusamehewa kabisa 😂Watu wengi wasiokunywa hawanaga akili wala utu.Nisamehewe.🤣🙏
Yani anataka afe fresh!Hopeless kabisa.Afe ametumika.😂😂😂Figo na maini anataka azikiwe nazo zikiwa nzima za kazi gani mkuu🚮
Si bora angekuwa dokta ni engineer alikuwa ananishauri Mambo ya kitabibu juu ya pombe Mimi mwenye taaluma yangu ,kumbe nyuma ya pazia ananifukuza kundini ili aingie yeyeHuyo dokta/liganga/litabibu alikushauri vema.Hakupenda utumalizie bia zetu.😂😂😂🙏
Mkuu bila hivyo CCM imeleta maisha magumu haswa ukiwaza sn unaweza kujinyonga bure lazima upulizie kidogoMkuu ndio maana hata mchango wako huwa ni waakili nyingi sana mda wote , watu wanywe vinywaji asee🤔
Tunayapokea, kheri yako wewe unatupa maua yetu mapema kabisa.Walevi wapewe maua yao.
Nashukuru sana kwa pongezi zako mkuu.Mwalemilwe!🙏😂Mkuu hii ipo wazi wala hauhitaji kusamehewa kabisa 😂
Nilikuwa namsikiliza kwa heshima maana kanizidi umri ila toka siku ile nimkute kalewa alafu anacheza sebene nikajua ,mnafiki wangu ni yeye asiyenipendea raha ,Sasa namuangalia tu😂😂😂Figo na maini anataka azikiwe nazo zikiwa nzima za kazi gani mkuu🚮
Kifo ni Kifo ila kama ni Kodi zetu ndio zinatumika kuwatibu na kusumbua ndugu jamaa na marafiki kuwachangia figo nadhani hapo ukifanya Magazijuto (utaona kwamba mna operate at a bit of a loss)Kifo ni kifo.Unataka uishi sana ili utupe shida ya kukufunga visepe mkuu?
Msamehe kwa niaba yangu.Si bora angekuwa dokta ni engineer alikuwa ananishauri Mambo ya kitabibu juu ya pombe Mimi mwenye taaluma yangu ,kumbe nyuma ya pazia ananifukuza kundini ili aingie yeye
Kukabidhi chakula cha siafu kikiwa hakijadokolewa hata nyama moja ni upumbavu mkuu😂😂Yani anataka afe fresh!Hopeless kabisa.Afe ametumika.
Akili kubwa lazima ipozwe na kinywaji kidogoMkuu hii ipo wazi wala hauhitaji kusamehewa kabisa 😂
Walevi no watu na nusuShikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu
Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.
Walevi wapewe maua yao.