Bidhaa zinazoingiza mapato makubwa zaidi ya kikodi Tanzania 2023/24: Pombe yachangia bilioni 929

Bidhaa zinazoingiza mapato makubwa zaidi ya kikodi Tanzania 2023/24: Pombe yachangia bilioni 929

Biashara kongwe na zenye kulipa.Hata Yesu alijaliza mabalasi kwa mvinyo saaafiii.Tukifa napo tutapatiwa 72 huku tunajigaragaza kwenye vijito vya ulabu.Itakuwa raha tupu sheikh!
Ah mie wanipe tuu hao 72. Ulabu nawaachia nyie. Au kama vipi share yangu ya ulabu nakupa wewe alafu wee unipe share yako ya manamke 72 😜
 
Shikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu

Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika

SOURCE: The Chanzo

1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54

Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.



Walevi wapewe maua yao.
Ukijumlisha na sigara na vocha siunajua tukilewa tunaongea balaa. Itafika tril 1.5
 
Shikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu

Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika

SOURCE: The Chanzo

1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54

Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.



Walevi wapewe maua yao.
Hii biashara ya sigara imekaaje mzee wa ma agent wakubwa
 
Mda mwingine izo pongezi ni za kuwavunja moyo wale wana tumia bia. Jamii zetu huwa na tabia ya kumchukulia mtu anaye kunwa bia kama mzembe, mvivu, irresponsable. Wakati kule bar kuna watu nao ambao wame ajiriwa kuwa wahudumu.
 
Back
Top Bottom