MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Hatunaga Mambo mengi ,nilishamsamehe toka siku ile ila sitamsahauMsamehe kwa niaba yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatunaga Mambo mengi ,nilishamsamehe toka siku ile ila sitamsahauMsamehe kwa niaba yangu.
Kuwa na heshima wewe Kaizirege.Usiite walevi.Sema waheshimiwa.Walevi kiufupi wanaingiza hela nyingi Sana
Maana wakifeli figo wakapelekwa muhimbili gharama zake ni kubwa Sana pia
Yani fantasy ya pombe sijawahi kuiona kabisa🤔Nilikuwa namsikiliza kwa heshima maana kanizidi umri ila toka siku ile nimkute kalewa alafu anacheza sebene nikajua ,mnafiki wangu ni yeye asiyenipendea raha ,Sasa namuangalia tu
Achana naye huyo.Hatunaga Mambo mengi ,nilishamsamehe toka siku ile ila sitamsahau
Ah mie wanipe tuu hao 72. Ulabu nawaachia nyie. Au kama vipi share yangu ya ulabu nakupa wewe alafu wee unipe share yako ya manamke 72 😜Biashara kongwe na zenye kulipa.Hata Yesu alijaliza mabalasi kwa mvinyo saaafiii.Tukifa napo tutapatiwa 72 huku tunajigaragaza kwenye vijito vya ulabu.Itakuwa raha tupu sheikh!
Umeanza uhuni sheikh!Wewe lazima tutagombana tu.Hata hao 72 wako nawataka wawe wangu.Ah mie wanipe tuu hao 72. Ulabu nawaachia nyie. Au kama vipi share yangu ya ulabu nakupa wewe alafu wee unipe share yako ya manamke 72 😜
Mkuu hata omba omba wengi wanaenda bar zaidi ya kanisani jiulize kwa nini ? Bar kuna upendo wa ajabu sana kuliko sehemu yoyote 🤔Nashukuru sana kwa pongezi zako mkuu.Mwalemilwe!🙏😂
🛠️🛠️🔨🔨 Nakazia ...Watu wengi wasiokunywa hawanaga akili wala utu.Nisamehewe.🤣🙏
Ukijumlisha na sigara na vocha siunajua tukilewa tunaongea balaa. Itafika tril 1.5Shikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu
Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.
Walevi wapewe maua yao.
Hii biashara ya sigara imekaaje mzee wa ma agent wakubwaShikamoo Walevi mwaka 2023/24 mmechangia Tsh 929B. Mpewe maua yenu
Ukijumlisha hela ya bia na spirit, na hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi nahisi 1T inafika
SOURCE: The Chanzo
1.⛽️Mafuta- Trilioni 3.6
2.🍻Bia- Bilioni 609
3.🍸Spiriti na Konyagi- Bilioni 320
4.📲Simu- Bilioni 320
5.🚬Sigara- Bilioni 275
6.🍶Vinywaji baridi- Bilioni 188
7.🧋Sukari- Bilioni 89.6
8.🧱Saruji- Bilioni 75
9.🥤Maji ya chupa- Bilioni 72
10.🏭Gesi asili matumizi viwandani- Bilioni 54
Mtu ukipiga hesabu hela ya mafuta ya walevi wanayotumia kwenda bar na kurudi na ukajumlisha mafuta ya kusambazia bia nahisi 1T inafika.
Walevi wapewe maua yao.
Nimezingatia kauli yako mkuu.🙏🤣Muuu hata omba omba wengi wanaenda bar zaidi ya kanisani jiulize kwa nini ? Bar kuna upendo wa ajabu sana kuliko sehemu yoyote 🤔
Bar ni sehemu takatifu vile tuna vichwa vigumu tu🤔Nimezingatia kauli yako mkuu.🙏🤣
Kwa hiyo ata huko kutakuwa na kuobiana wake🤣🤣🤣🤣 hatariUmeanza uhuni sheikh!Wewe lazima tutagombana tu.Hata hao 72 wako nawataka wawe wangu.
Oya Sasa ngoja nijitunze maana huku duniani ni madunga embe tu yoteKwa hiyo ata huko kutakuwa na kuobiana wake🤣🤣🤣🤣 hatari
Ukizubaa unakwama.Wakiniangalia ninavyojidai mtoni kwenye mvinyo lazima wakukimbie.🤣Kwa hiyo ata huko kutakuwa na kuobiana wake🤣🤣🤣🤣 hatari
Mkuu kwanza pombe ina michongo ya maanaUkizubaa unakwama.Wakiniangalua ninavyojidai mtoni kwenye mvinyo lazima wakukimbie.🤣
Nipasie na mimi hapa ndinywe ugimbiKaribu sana.Napata CML hapa.