Hivi carry mastory ndo huyo huyo idriss?Namchukia sana carry mastori.
Ila huyu dogo Yeye kasaidia yatima wangapi?Haya hayaa dakika chachee tu baada ya mshind wa big brother na pia ni komedian maarufu hapa nchini Tanzania bwana idriss sultan kuandika caption kwa nia ya kumtakia heri ya kuzaliwa mwanamuziki diamond platnumz. Caption hio imemchukiza hamisa mabeto akihisi kasemwa yeye kiasi cha kumtolea mapovu idriss
CAPTION YA IDRISS
View attachment 601054
MAPOVU YA HAMISA NA JIBU LA IDRISS
View attachment 601041
Bado alikuwa na mifano mingi tu ya kutimia. Si dhambi kuwekana sawa.kapanic buree..
huyo idd nnavoona ujumbe ni kama alikua anamuweka mwanaume mwenzie kwenye mstari
manake anamimbisha huku na kule bila mpangilio..matokeo kesho akiwa hayupo duniani ataacha watoto wake wakiteseka.
mtu mwenye zaid ya milion anashindwa kununua condom akaxuia hili la kuacha watoto wasio na familia za kujistir hapo kesho
na huyo mswahili kahis anasemwa kwa mafumbo...yani kapayuka nonsense vibaya mnoo
Nikweli kabisa. Kwanza idris hakutaja jina la mtu wala jina la mtoto yeyote. Sema hamisa anajihisi tu kama mwenzetu alivyosema apo juu kua " incubator kakasirika.[emoji28]Si kila kitu unatakiwa kujibu, Hamisa Angela's kimya kama hajayaona.
Hapana.Hivi carry mastory ndo huyo huyo idriss?
Aisee!wewe ni timu c.h.u.p.i kunuka aka hamisa
MmmmhIncubator kakasirika
Nimempenda Hamisa amemjibu maneno yenye hekima na busara!Si kila kitu unatakiwa kujibu, Hamisa angekaa kimya kama hajayaona.
We jamaa kuna ishu gani nyuma ya pazia kati yako na Idris...??? Inaelekea unamjua sn yan..??Hapana.
Carry kasichana fulani hivi kijakazi wa idriss.
Ila hilo neno KIJAKAZI, halijakaa poa sn..!! Ungesema tu msaidizi, japo halina maana ya moja kwa moja, bt linaeleweka kiungwana zaidi.Hapana.
Carry kasichana fulani hivi kijakazi wa idriss.
mbona yuko kama she male anatiukana kweli wanawake wenzie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna kakaangu anatafuta mtoto naona huyu hamisa incubator atafaaa kututotolea walau wawili ngoja nimpange broIncubator kakasirika
Nakachukia sana haka kabinti .mbona yuko kama she male anatiukana kweli wanawake wenzie
Kumbe ndio huyu...simpendi balaaHance Mtanashati post: 23756790 said:
Ngoja niweke msisitizo kwa herufi kubwa.Ila hilo neno KIJAKAZI, halijakaa poa sn..!! Ungesema tu msaidizi, japo halina maana ya moja kwa moja, bt linaeleweka kiungwana zaidi.