Kama ni mradi wa kuchekesha kupitia majungu hapo sawamfuatilie utajua tu.
kanaonekana kaswahili sana hako kadada...Si kila kitu unatakiwa kujibu, Hamisa angekaa kimya kama hajayaona.
Hapana.We ni balozi wake?
HahahahahahaWe jamaa kuna ishu gani nyuma ya pazia kati yako na Idris...??? Inaelekea unamjua sn yan..??
Ila kuwa makini. Usije ukayaweka rehani marinda yko. Kumfuatilia sn mwanaume mwenzako this much, kumjua inside out, ni hatari.
Aisee umeolewa????kapanic buree..
huyo idd nnavoona ujumbe ni kama alikua anamuweka mwanaume mwenzie kwenye mstari
manake anamimbisha huku na kule bila mpangilio..matokeo kesho akiwa hayupo duniani ataacha watoto wake wakiteseka.
mtu mwenye zaid ya milion anashindwa kununua condom akaxuia hili la kuacha watoto wasio na familia za kujistir hapo kesho
na huyo mswahili kahis anasemwa kwa mafumbo...yani kapayuka nonsense vibaya mnoo
[emoji134] [emoji134] hapanaAisee umeolewa????
sasa huo sio utani..ni ujumbe mzito..mwenye akili araelewa idriss kamshauri nini mond.idris ni mtu wa utani saana nashangaa mdada kamaindi
Nimegundua ya kwamba wewe ni wife material[emoji134] [emoji134] hapana
mbona unaniuliza hivo?
really?? asanteNimegundua ya kwamba wewe ni wife material
Yes na utapata mume bora kwa utashi wakoreally?? asante
Ndo hapo sasa, jamaa alipata zaidi ya milioni500 lkn saiv ni mwajiriwa, ndo maana mwana fa alisema "kama hujaandikiwa kuwa tajiri huwezi kuwa hata ukiiba hela zitapotea"Huyo Idrisa na ushamba ushamba wake alipata mamilion ya pesa akaenda kuyachezea kwenye mbunye nani alimuuliza sasa hivi anaganga njaa sijui clouds or what............ Idrisa ni vizuri kaaa mbali na maisha ya watu yake mwenyewe bado. awaze jinsi ya kutafuta soko la mokasi zake basi mengine waachie akina Soudy unakera
Anaye kiherehere sana hata hiyo kiherehere take haiendani na personality yake tooo boyish anakera sana kufatilia ya watu ya kwakwe je? Unapokea 500milion halafu unaenda kuajiriwa mbona wenzako walikunyamazia...very bad kwakweliBado hujamjua Idriss wewe.
Kwanza kuna muvi kadhaa amealikwa akacheze huko US na waigizaji wakubwa wa huko.
Pia ana miradi mingi sana inayomuingizia pesa kwa sasa.
AmenYes na utapata mume bora kwa utashi wako
So what?Iddrisa keshaomba msamaha
Uyo wakuja uyo si unaskia ata anavoongeaga sauti bado ana harufu ya mkoaHuyo Idrisa na ushamba ushamba wake alipata mamilion ya pesa akaenda kuyachezea kwenye mbunye nani alimuuliza sasa hivi anaganga njaa sijui clouds or what............ Idrisa ni vizuri kaaa mbali na maisha ya watu yake mwenyewe bado. awaze jinsi ya kutafuta soko la mokasi zake basi mengine waachie akina Soudy unakera