Bifu kali kati ya Diamond na Clouds Media

Bifu kali kati ya Diamond na Clouds Media

Nakubaliana na wewe Jana nilikua nasikiliza XXL kuna maneno yalisemwa ya Kumsifia Ali Kiba kua ni msanii wa kimataifa na hakuna kama yeye Tanzania nzima
We ulitarajia waseme nini ikiwa ukweli ni huo? Fungua Radio station ya kwako uufurahishe moyo wako na wewe. Au mwandalie kipindi mtangazaji akitangaze ulichomwandalia mkuu.
 
Ukiona hivyo mods anakuepusha na Segerea. Siku hizi ukitereza kuandika kidogo wanakupa kesi ya makosa ya mtandao... Ukiaona thread yako inafutwa usife moyo... We endelea kutoa michango yako kwenye thread nyingine na michango yako itaendelea kuheshimiwa. Tatizo lako mkuu hujajua kuwa unapotoa michango yako humu, wewe ni kama mbunge tu... Wakubwa wote wa chama na serikali wapo humu JF, so michango yako itwafikia vizuri tu... Pia kumbuka, umuhimu wako ni mkubwa kuliko hata hao wabunge wanaowakilisha jimbo moja tu, maana wewe unawawakilisha wananchi wa nchi nzima. Ni hayo tu mkuu...

Kama unavyoona mkuu sijaandika kibaya na ki ukwel selikal naigopa sana tu hasa kipindi hiki jamaa hana utani
 
itakuwa ni sababu ya Jembe FM,si unajua tena biashara,ni kama vile watakuwa wanaitangaza jembe fm ili hali na wenyewe wana biashara ya radio

Nahis labda ila wanapotea sasa kinguv
 
Raha ya Mechi yoyote anaejua ni yule anaeshinda na sio anaepiga chenga nyingii.
Diamond ni Level nyingine kabisaaaa,acheni mas`hara kabisaa,
Then kwenye Pesa ndio kama hivyo ni Billionaire,sasa we uje ulinganishe na alikiba?
Halafu hizi ni issue za madem wa kibongo ndio wenye kuweka makundi,ila unakuta hadi midume imeingia humo.
Pesa anayomili Diamond anaweza kuanzisha kituo Kikubwa tu cha TV na Redio zaidi ya Clounds.
Leo huku Zanzibar Wapo WCB Team inafanya show,full mtete,balaaaa,nilipita pale wakati nakuja home,watu nyomi balaa.

Hahahahaha wakubali tu jamaa anaweza
 
Wabongo mnapenda watu wagombane baadae mfungue akounti instagram za matimu mwanze kutukanana, mbona karibia watangazaji wote wa clouds wamepost mondi kuchaguliwa BET mpaka DIVA ktk page yake instagram anahamasisha watu wampigie kura diamond, na account zote za instagram za clouds TV na RADIO nazo zilimpost diamond platnumz baada ya kuwa nominated BET. Kuhusu ishu ya jembe hizo sababu za kibiashara.
 
Nanukuu xxl ya ijumaa..

Perfect crisp : Kiba kasaini mkataba wa kimataifa hakuna kama huo Tanzania hii

Mamybaie : Mungu ni wa wote au sio


Perfect crisp : Ndio Mungu ni wa wote sio wa said fella peke yake wala babu tale


Kennedy : Talk to them

Perfect : Huu muziki hamuwezi kujifanya nyie ndio mnaumiliki

Mami babe : Hahahahahah

Kennedy : Hahahahahah

Perfect : huu muziki sio wa mameneja fulani peke yao

Kennedy :mimi simo


Hii nimesikia kwa sikio langu

Tukubali kuna tatizo
 
Nanukuu xxl ya ijumaa..

Perfect crisp : Kiba kasaini mkataba wa kimataifa hakuna kama huo Tanzania hii

Mamybaie : Mungu ni wa wote au sio


Perfect crisp : Ndio Mungu ni wa wote sio wa said fella peke yake wala babu tale


Kennedy : Talk to them

Perfect : Huu muziki hamuwezi kujifanya nyie ndio mnaumiliki

Mami babe : Hahahahahah

Kennedy : Hahahahahah

Perfect : huu muziki sio wa mameneja fulani peke yao

Kennedy :mimi simo


Hii nimesikia kwa sikio langu
Haaa haaa haaa hiii n kali
 
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa diamond na brand kubwa ya radio na tv clous fm bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake
Mfano juzi alikiba alipokwenda South Africa clouds ilipost kupia mitandaon na kutuma mwakilishi aende akareport kiba akisign na sony

Neyo kaja tanzania clouds kimyaaaa millad ayo pia tofaut nabtulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofaut hajareport lolote kuhusiana na ujio wa neyo wala shoo ya diamond

My take.. :

Millad usipote njia hao wapo na wewe saiv baadaye utaondolewa kama wengime walivyowah fanyiwa
Majizo anamalizia hatua za mwisho kupata leseni ya ku broadcast kwenye FM wave nchi nzima, na huo ndio utakuwa mwisho wa Clouds FM.
#mchezohuuhauhitajihasira
 
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa diamond na brand kubwa ya radio na tv clous fm bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake
Mfano juzi alikiba alipokwenda South Africa clouds ilipost kupia mitandaon na kutuma mwakilishi aende akareport kiba akisign na sony

Neyo kaja tanzania clouds kimyaaaa millad ayo pia tofaut nabtulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofaut hajareport lolote kuhusiana na ujio wa neyo wala shoo ya diamond

My take.. :

Millad usipote njia hao wapo na wewe saiv baadaye utaondolewa kama wengime walivyowah fanyiwa



Dimond ndo nani??
 
Juzi kati hapa kulikuwa na thread inaeleza kuwa Diamond anabagua Radio stations kwa kufanya interview na kutoa updates zake kupitia Clouds pekee leo tumeibuka na lingine.
Njia sahihi ya kuwakabili Clouds ni kuwa na ubora wa huduma zenu za viwango sawa na Clouds au kuzidi otherwise mnapoteza muda kuwasilibia!
Kila mara mnasema hamsikilizi Clouds lakin mko updated nao kuliko funs wake!
 
Nanukuu xxl ya ijumaa..

Perfect crisp : Kiba kasaini mkataba wa kimataifa hakuna kama huo Tanzania hii

Mamybaie : Mungu ni wa wote au sio


Perfect crisp : Ndio Mungu ni wa wote sio wa said fella peke yake wala babu tale


Kennedy : Talk to them

Perfect : Huu muziki hamuwezi kujifanya nyie ndio mnaumiliki

Mami babe : Hahahahahah

Kennedy : Hahahahahah

Perfect : huu muziki sio wa mameneja fulani peke yao

Kennedy :mimi simo

Hii nimesikia kwa sikio langu

Clouds FM nao ni wa kusema muziki siyo wa mameneja flani?

Kweli, hiki kipindi cha Magufuli tutashuhudia mengi, juzi Jide kajaza watu, Ndi ndi ndi haipigwi Clouds FM lakini umekuwa kama wimbo wa Taifa.

Wenyewe Clouds wanajua hawawezi kugombana na Babu Tale wala Fela, kila mmoja namwitaji mwenzake, tatizo lao moja kubwa ni kushindwa kumlipa Diamond ili awepo kwenye matamasha yao, so wanakuwa wanajaribu kumnanyua King Kiba ili ikitokea D asiwepo akawepo Kiba basi watu tuhisi kwamba hakuna pengo.

Ni vizuri kutengeza super powers kwenye muziki bila kutafuta kuangashana, kila mtu apige kazi, apande level zake mwisho wa siku ni furaha TZ kuwa na wasanii wengi wakubwa Kimataifa.

Mkataba alioupata Kiba unaweza kuwa mwanzo wa yeye kufanya vizuri, lakini pia juhudi binafsi ndo kitu cha kwanza, kama yeye mwenyewe hawezi ku-struggle awe level kubwa Sony pia hawataweza, tutaishia kusifiana uongo tu.

Kiba akaze, mkataba huu ni platform ya kutokea kimataifa kama atakaza sana.
 
acha wasanii wetu wafanye yao kiba na diamond pigen mzigo haya sijui mabifu tupa kule.
 
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa diamond na brand kubwa ya radio na tv clous fm bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake
Mfano juzi alikiba alipokwenda South Africa clouds ilipost kupia mitandaon na kutuma mwakilishi aende akareport kiba akisign na sony

Neyo kaja tanzania clouds kimyaaaa millad ayo pia tofaut nabtulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofaut hajareport lolote kuhusiana na ujio wa neyo wala shoo ya diamond

My take.. :

Millad usipote njia hao wapo na wewe saiv baadaye utaondolewa kama wengime walivyowah fanyiwa
Milad anatumwa Haifanyi jambo lolote kwa Kutaka mwenyewe... Hiyo si Redio yake kwahiyo hahusiki..
 
Jembe festival ni mpinzani wa Fiesta.... na inapita walipopita before .. so usitegemee promo kutoka cloudz media

Clouds recently wamepata upinzani wa kutosha kwenye kuandaa matamasha mwanzo wapinzani walikuwa East Africa Radio now wameongezeka E- FM na Jembe FM
 
Post zangu unafuta na sijandika matusi hata moja leo mara ya pili majuz nlipost kuhusu mbowe na elim yake ikafutwa leo nimepost kuhusu diamond na clouds siion jaman au kunatatizo
Tatizo avatar yako watu hawaikolei...weka ya Lowassa mambo yakunyookee
 
Ha
Raha ya Mechi yoyote anaejua ni yule anaeshinda na sio anaepiga chenga nyingii.
Diamond ni Level nyingine kabisaaaa,acheni mas`hara kabisaa,
Then kwenye Pesa ndio kama hivyo ni Billionaire,sasa we uje ulinganishe na alikiba?
Halafu hizi ni issue za madem wa kibongo ndio wenye kuweka makundi,ila unakuta hadi midume imeingia humo.
Pesa anayomili Diamond anaweza kuanzisha kituo Kikubwa tu cha TV na Redio zaidi ya Clounds.
Leo huku Zanzibar Wapo WCB Team inafanya show,full mtete,balaaaa,nilipita pale wakati nakuja home,watu nyomi balaa.
Hakuna mwanamuziki billionaire duniani....na ubillionare unapimwa kwa us dollars.euro money.sterling pound....hizo za "domo" ni za madafu. ..ukimwita billionaire utachekwa
 
Back
Top Bottom