We ulitarajia waseme nini ikiwa ukweli ni huo? Fungua Radio station ya kwako uufurahishe moyo wako na wewe. Au mwandalie kipindi mtangazaji akitangaze ulichomwandalia mkuu.Nakubaliana na wewe Jana nilikua nasikiliza XXL kuna maneno yalisemwa ya Kumsifia Ali Kiba kua ni msanii wa kimataifa na hakuna kama yeye Tanzania nzima
Ukiona hivyo mods anakuepusha na Segerea. Siku hizi ukitereza kuandika kidogo wanakupa kesi ya makosa ya mtandao... Ukiaona thread yako inafutwa usife moyo... We endelea kutoa michango yako kwenye thread nyingine na michango yako itaendelea kuheshimiwa. Tatizo lako mkuu hujajua kuwa unapotoa michango yako humu, wewe ni kama mbunge tu... Wakubwa wote wa chama na serikali wapo humu JF, so michango yako itwafikia vizuri tu... Pia kumbuka, umuhimu wako ni mkubwa kuliko hata hao wabunge wanaowakilisha jimbo moja tu, maana wewe unawawakilisha wananchi wa nchi nzima. Ni hayo tu mkuu...
Raha ya Mechi yoyote anaejua ni yule anaeshinda na sio anaepiga chenga nyingii.
Diamond ni Level nyingine kabisaaaa,acheni mas`hara kabisaa,
Then kwenye Pesa ndio kama hivyo ni Billionaire,sasa we uje ulinganishe na alikiba?
Halafu hizi ni issue za madem wa kibongo ndio wenye kuweka makundi,ila unakuta hadi midume imeingia humo.
Pesa anayomili Diamond anaweza kuanzisha kituo Kikubwa tu cha TV na Redio zaidi ya Clounds.
Leo huku Zanzibar Wapo WCB Team inafanya show,full mtete,balaaaa,nilipita pale wakati nakuja home,watu nyomi balaa.
Nanukuu xxl ya ijumaa..
Perfect crisp : Kiba kasaini mkataba wa kimataifa hakuna kama huo Tanzania hii
Mamybaie : Mungu ni wa wote au sio
Perfect crisp : Ndio Mungu ni wa wote sio wa said fella peke yake wala babu tale
Kennedy : Talk to them
Perfect : Huu muziki hamuwezi kujifanya nyie ndio mnaumiliki
Mami babe : Hahahahahah
Kennedy : Hahahahahah
Perfect : huu muziki sio wa mameneja fulani peke yao
Kennedy :mimi simo
Hii nimesikia kwa sikio langu
Haaa haaa haaa hiii n kaliNanukuu xxl ya ijumaa..
Perfect crisp : Kiba kasaini mkataba wa kimataifa hakuna kama huo Tanzania hii
Mamybaie : Mungu ni wa wote au sio
Perfect crisp : Ndio Mungu ni wa wote sio wa said fella peke yake wala babu tale
Kennedy : Talk to them
Perfect : Huu muziki hamuwezi kujifanya nyie ndio mnaumiliki
Mami babe : Hahahahahah
Kennedy : Hahahahahah
Perfect : huu muziki sio wa mameneja fulani peke yao
Kennedy :mimi simo
Hii nimesikia kwa sikio langu
Majizo anamalizia hatua za mwisho kupata leseni ya ku broadcast kwenye FM wave nchi nzima, na huo ndio utakuwa mwisho wa Clouds FM.Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa diamond na brand kubwa ya radio na tv clous fm bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake
Mfano juzi alikiba alipokwenda South Africa clouds ilipost kupia mitandaon na kutuma mwakilishi aende akareport kiba akisign na sony
Neyo kaja tanzania clouds kimyaaaa millad ayo pia tofaut nabtulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofaut hajareport lolote kuhusiana na ujio wa neyo wala shoo ya diamond
My take.. :
Millad usipote njia hao wapo na wewe saiv baadaye utaondolewa kama wengime walivyowah fanyiwa
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa diamond na brand kubwa ya radio na tv clous fm bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake
Mfano juzi alikiba alipokwenda South Africa clouds ilipost kupia mitandaon na kutuma mwakilishi aende akareport kiba akisign na sony
Neyo kaja tanzania clouds kimyaaaa millad ayo pia tofaut nabtulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofaut hajareport lolote kuhusiana na ujio wa neyo wala shoo ya diamond
My take.. :
Millad usipote njia hao wapo na wewe saiv baadaye utaondolewa kama wengime walivyowah fanyiwa
Nanukuu xxl ya ijumaa..
Perfect crisp : Kiba kasaini mkataba wa kimataifa hakuna kama huo Tanzania hii
Mamybaie : Mungu ni wa wote au sio
Perfect crisp : Ndio Mungu ni wa wote sio wa said fella peke yake wala babu tale
Kennedy : Talk to them
Perfect : Huu muziki hamuwezi kujifanya nyie ndio mnaumiliki
Mami babe : Hahahahahah
Kennedy : Hahahahahah
Perfect : huu muziki sio wa mameneja fulani peke yao
Kennedy :mimi simo
Hii nimesikia kwa sikio langu
Milad anatumwa Haifanyi jambo lolote kwa Kutaka mwenyewe... Hiyo si Redio yake kwahiyo hahusiki..Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa diamond na brand kubwa ya radio na tv clous fm bifu la hadharani. Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake
Mfano juzi alikiba alipokwenda South Africa clouds ilipost kupia mitandaon na kutuma mwakilishi aende akareport kiba akisign na sony
Neyo kaja tanzania clouds kimyaaaa millad ayo pia tofaut nabtulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofaut hajareport lolote kuhusiana na ujio wa neyo wala shoo ya diamond
My take.. :
Millad usipote njia hao wapo na wewe saiv baadaye utaondolewa kama wengime walivyowah fanyiwa
Bei maelewano!Sh ngapi?
Jembe festival ni mpinzani wa Fiesta.... na inapita walipopita before .. so usitegemee promo kutoka cloudz media
Tatizo avatar yako watu hawaikolei...weka ya Lowassa mambo yakunyookeePost zangu unafuta na sijandika matusi hata moja leo mara ya pili majuz nlipost kuhusu mbowe na elim yake ikafutwa leo nimepost kuhusu diamond na clouds siion jaman au kunatatizo
Hakuna mwanamuziki billionaire duniani....na ubillionare unapimwa kwa us dollars.euro money.sterling pound....hizo za "domo" ni za madafu. ..ukimwita billionaire utachekwaRaha ya Mechi yoyote anaejua ni yule anaeshinda na sio anaepiga chenga nyingii.
Diamond ni Level nyingine kabisaaaa,acheni mas`hara kabisaa,
Then kwenye Pesa ndio kama hivyo ni Billionaire,sasa we uje ulinganishe na alikiba?
Halafu hizi ni issue za madem wa kibongo ndio wenye kuweka makundi,ila unakuta hadi midume imeingia humo.
Pesa anayomili Diamond anaweza kuanzisha kituo Kikubwa tu cha TV na Redio zaidi ya Clounds.
Leo huku Zanzibar Wapo WCB Team inafanya show,full mtete,balaaaa,nilipita pale wakati nakuja home,watu nyomi balaa.