Kibongo bongo watu wanaona sawa na mapovu yanawatoka....
Lakini kwa wenzetu si sawa....alipaswa ampe credit huyo rope rope sijui topetope
Na ingekuwa kwa wenzetu lawsuit ingemhusu
OK ata mimi nilishangaa.. Sasa kwa nini anamattack mlaji wa mwisho? Au ndio mambo ya kick!
Angekuwa ana tumia akili vizuri ilibidi amtuhumu disigner wa Diamond au ange ongea na Manager wa Diamond wakaelewana na ilikuwa opportunity kwao wote Diamond angeweza kuingia nae mkataba halafu ingekuwa nafasi ya yeye kujitangaza na Diamond kujitangaza lakini njia hii aliyotumia ni attack kwa mtu asiye mhusika!
Anatakiwa ku mshitaki disigner wa Diamond....
Unataka watu wakimbie hahahahahaha maana juu mkubwa chini mdogo
Isingemuhusu Diamond kama kweli, ingemuhusu stylist wake aliyemtag kwenye post insta.
Huyo anayelalamika angeenda kumlalamikia stylist.
Basi madizaina wote watatafuta washona nguo kwa kuwa kopi maana ni kawaida haya kutokea.
Hilo logo wapi jina la logo limewekwa kwa alichovaa Diamond?
Asepe zake hukooooo
Hongereni wa Tanzania mlio na msimamo wa kutotaka kuonewa kijinga kwa sababu ya wa Tanzania wengine wachache mburulazz wanaolala na kuamka kutaka kuona waliofanya bidii kuendelea wanashuka walitumia siku nzima kumpoda D wetu huko. Ni furaha hamna cha kuongelea bali D na Z tuuu hadi raha.
Hongereni kwa kama kuna wengine zaidi waliompa ukweli labda kwa nyuma huyo muuza nguo huko USA kuondoa upuuzi wake kwenye instagram page yake. Natumaini ameelewa na hata rudia maana kampa promo pia Diamond isiyo ya kawaida, tunamshukuru kwa hilo.
Ila amepakwa na kupewa facts hadi raha.
Kifesi leo katoa kali karusha kuwa - Tanzania ogopa maskini kuliko wachawi....lol
ahahaaaa!kifesi ananipaga raha sana insta!yaani huyo jamaa amempa daimond wetu booonge la promo kweli kama ulivyosema
Wameongea biashara or?