Bifu la 50 cent na Ja Rule: 50 anunua tiketi 200 za tamasha la Ja Rule ili viti viwe tupu

Bifu la 50 cent na Ja Rule: 50 anunua tiketi 200 za tamasha la Ja Rule ili viti viwe tupu

Kiongozi wa G-Unit, 50 Cent ameendelea kumuandama Ja Rule ambapo wiki hii amezua jambo kwa kununua tiketi 200 za viti vya mbele vya tamasha la hasimu wake huyo ili viwe wazi. Ja Rule anajiandaa kufanya tamasha lake kwenye ukumbi mmoja ulioko Texas nchini humo, Novemba 9 mwaka huu. Ingawa tamasha hilo bado halijafanyika, 50 Cent ameweka picha iliyotengenezwa ikionesha viti vingi vya mbele vikiwa wazi, huku akiwa amekaa peke yake akiangalia tamasha na kwa mbali wanaanza kuonekana watu wengine.
Picha: 50 Cent anunua tiketi 200 tamasha la Ja Rule ili viti viwe waziView attachment 913090
Bifu za kicenge hizi
 
Fif's a clown, and Rule needs that attention from Fif. This is not good for the culture tho, from a hip hop stand-point. Rappers should trade bars, not memes and what not. That's why cats like Eminem are celebrated everyday, and rightfully so. Hip hop is a big joke these days.
Mkongwe...
Samahani sana..!
Hivi unamaana gani kumfananisha Rap God (Eminem) na nyau..?
 
Bifu za kicenge hizi
50 kolo tu, ameua career ya muhuni toka mainstream na yote ni vile alikuwa hana upepo wa kumtoa mainstream kwa hitsongs, he choose the beefing path namfananisha 50 na Ney wa mitego katika minajili ya mziki! 15+ years toka aanze kuwika kashakuwa mtu mzima ila akili ya kitoto bado, shenzee
 
Ila Terror Squad walimnyoosha, Fat Joe alimzima kwa Diss Track mpaka leo sijaskia akimfata fata
 
Back
Top Bottom