Bifu la Harmonize na team Wema lachafua hali ya hewa

Hebu mwenye hiyo clip haiweke hapa ili tuhukumu vizuri,kama kweli alisema/kuimba hivo hakufanya fair,LAKINI TUSIWE KAMA WALIVYO HAO WANAOITWA "timu wema" WANATUKANA HATA KAMA KITU HAKIPO HIVO. SASA MWENYE HIYO CLIP HAIWEKE TUONDOE MZIZI WA FITINA.

Umekaa.miguu juu unasubir uletewe kalaghabaho!!!!!! Mwambie wolper akuletee
 

Chuki eeeeee chuki eeeeee.
 
Wala sio kwamba namtetea kwasababu ya Mapenzi, nilichosema ni kwamba Harmo hakumtaja Wema(kwa kinywa chake) waliomtaja ni Wengine hapo ndio kuna utata

Wacha weee, kaanza verse kaachia chorus kwa washkaji. Walijipanga vyema.
 
tifu huko insta,na wabongo kwa ushabiki mandazi hapo shuzi limepata mjambaji.
 
Vinyimbo viwili vitatu ashajiona don mtaani na kutembea na too much used commodities
 
Ni vzr kuheshimu mawazo ya mtu atakama kaandika kitu kitakacho kukera hii nimejione kupitia maoni yako pole kijana hao waliokushambulia achana nao wamejaa ubaguzi[emoji35] [emoji35] [emoji35] mijitu mingine bhana
 
Lini na wapi Wema alishamtukana dai au tiffa...Matusi yanatoka kwenye timu zao..Timu Dai wanamtukana Wema na Kina,Timu Wema wanamtukana zari na dai....yaaani fans wao ndo watukanajii wakubwa....
Alimtukana snapchat.
 
Najaribu kujiuliza kuna nini kinachoendelea ktk hili game la music mpaka wasanii waonekane nikama wa 3 au wanne Tz iliyokua fair ktk ili game miaka michache ya nyuma wasanii kibao na song kali Ila Leo nyimbo chache kupewa kick zaidi ya za wasanii wengine.!!!!!???? SOMETHING WRONG SOMEWERE
 
huyo dogo n mjinga w2 cku hz wako bz na pesa kama n mimba abebe na yeye ili 2elewe
 
kuna timu kiele ele na timu mapepe au timu kidagaa aka asha ngedere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…