Well said bruh, hii tasnia sasa ivi ni kama ina wasanii 2, 3, inasikitisha.Najaribu kujiuliza kuna nini kinachoendelea ktk hili game la music mpaka wasanii waonekane nikama wa 3 au wanne Tz iliyokua fair ktk ili game miaka michache ya nyuma wasanii kibao na song kali Ila Leo nyimbo chache kupewa kick zaidi ya za wasanii wengine.!!!!!???? SOMETHING WRONG SOMEWERE
#Mchezo huu hauhitaji hasira#Ni vzr kuheshimu mawazo ya mtu atakama kaandika kitu kitakacho kukera hii nimejione kupitia maoni yako pole kijana hao waliokushambulia achana nao wamejaa ubaguzi[emoji35] [emoji35] [emoji35] mijitu mingine bhana