mkudugwa
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 226
- 221
Yani we umeongea yani huwa namuaangalia namuonea huruma yani simuelewi Mara Diamond Mara Kiba sijui ana matatizo gani yani bora abaki single tu!Aliolewa na nani?? Hajaolewa bhana sa HV c yuko na kiba lkn naskia uhusiano wao unasuasua,.. Unajua jokate kwa alivo na mambo anayoyafanya sio mdada wa kukimbilia wasanii wa bongo fleva anajishusha sana,