Bifu la Jokate na Flavian Matata linapamba moto chinichini, kisa?

Aliolewa na nani?? Hajaolewa bhana sa HV c yuko na kiba lkn naskia uhusiano wao unasuasua,.. Unajua jokate kwa alivo na mambo anayoyafanya sio mdada wa kukimbilia wasanii wa bongo fleva anajishusha sana,
Yani we umeongea yani huwa namuaangalia namuonea huruma yani simuelewi Mara Diamond Mara Kiba sijui ana matatizo gani yani bora abaki single tu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povuuuuuu

pole sana
huyu ana wivu n jokate
nampenda saaana jojo ila swala lake n kiba sitakag hata kusikia maana sipendezew na kapo yao(hayanihusu)
ila jokate namkubali saaaanaaaa...my fave star
 
huyu ana wivu n jokate
nampenda saaana jojo ila swala lake n kiba sitakag hata kusikia maana sipendezew na kapo yao(hayanihusu)
ila jokate namkubali saaaanaaaa...my fave star
yap JoJo anajituma sana

na hadhi ya wanaume wake sio wanamuziki angetafuta mkaka anaejiheshimu vzr akawa nae
 
Yani we umeongea yani huwa namuaangalia namuonea huruma yani simuelewi Mara Diamond Mara Kiba sijui ana matatizo gani yani bora abaki single tu!
Jokate hadhi yake ni ya kuwa na wanaume wenye heshima zao , wasomi. Wanaojielewa sasa hao bongo fleva Leo huyu kesho yule, mm nampendaga lifestyle yake anajielewa sema hapo tu ananiboaga
 
huyu ana wivu n jokate
nampenda saaana jojo ila swala lake n kiba sitakag hata kusikia maana sipendezew na kapo yao(hayanihusu)
ila jokate namkubali saaaanaaaa...my fave star
Ww kama mm mkuu, jokate hadhi yake si mtu wa kukimbizana na wasanii sijui hana bahati ya kupendwa na watu wenye heshima zao au niaje
 
Afu unakuta Kuna mpumbavu baada ya kukijua kiingereza hataki wengine wakijue,anasema elimu ya tz ifundishe kwa kiswahili toka msingi mpaka chuo kikuu mamaee,sasa post kama hz tutaelewaje,mazafanta nyokolo
 
Afu unakuta Kuna mpumbavu baada ya kukijua kiingereza hataki wengine wakijue,anasema elimu ya tz ifundishe kwa kiswahili toka msingi mpaka chuo kikuu mamaee,sasa post kama hz tutaelewaje,mazafanta nyokolo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Jokate hadhi yake ni ya kuwa na wanaume wenye heshima zao , wasomi. Wanaojielewa sasa hao bongo fleva Leo huyu kesho yule, mm nampendaga lifestyle yake anajielewa sema hapo tu ananiboaga


Kwani sisi wanaume wenye heshima zetu tuko vipi? Naona mnatuongelea sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…