Yani we umeongea yani huwa namuaangalia namuonea huruma yani simuelewi Mara Diamond Mara Kiba sijui ana matatizo gani yani bora abaki single tu!Aliolewa na nani?? Hajaolewa bhana sa HV c yuko na kiba lkn naskia uhusiano wao unasuasua,.. Unajua jokate kwa alivo na mambo anayoyafanya sio mdada wa kukimbilia wasanii wa bongo fleva anajishusha sana,
flavy kwanza wanamjua wachacheila naona flaviana amepata wivu sababu mwenzie amejitangaza sana ..yeye alidorola mno ..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povuuuuuuJokate mpuuzi sana...mbn yeye na kibakuli hawafurahi diamond anavyofanya ya maendeleo kila siku upuuzi tu na majungu...mpumbafu sana jokate
NimeshangaaNae mbona kaiga tu asimnage mwenziee
huyu ana wivu n jokate[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povuuuuuu
pole sana
yap JoJo anajituma sanahuyu ana wivu n jokate
nampenda saaana jojo ila swala lake n kiba sitakag hata kusikia maana sipendezew na kapo yao(hayanihusu)
ila jokate namkubali saaaanaaaa...my fave star
Jokate hadhi yake ni ya kuwa na wanaume wenye heshima zao , wasomi. Wanaojielewa sasa hao bongo fleva Leo huyu kesho yule, mm nampendaga lifestyle yake anajielewa sema hapo tu ananiboagaYani we umeongea yani huwa namuaangalia namuonea huruma yani simuelewi Mara Diamond Mara Kiba sijui ana matatizo gani yani bora abaki single tu!
Kwani huyo nae katokea wapi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] by the way mic u binamu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] povuuuuuu
pole sana
Ww kama mm mkuu, jokate hadhi yake si mtu wa kukimbizana na wasanii sijui hana bahati ya kupendwa na watu wenye heshima zao au niajehuyu ana wivu n jokate
nampenda saaana jojo ila swala lake n kiba sitakag hata kusikia maana sipendezew na kapo yao(hayanihusu)
ila jokate namkubali saaaanaaaa...my fave star
Sijui hawaoni au nnyap JoJo anajituma sana
na hadhi ya wanaume wake sio wanamuziki angetafuta mkaka anaejiheshimu vzr akawa nae
Unasema je?? Ongeza sautiWw kama mm mkuu, jokate hadhi yake si mtu wa kukimbizana na wasanii sijui hana bahati ya kupendwa na watu wenye heshima zao au niaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu unakuta Kuna mpumbavu baada ya kukijua kiingereza hataki wengine wakijue,anasema elimu ya tz ifundishe kwa kiswahili toka msingi mpaka chuo kikuu mamaee,sasa post kama hz tutaelewaje,mazafanta nyokolo
Jokate hadhi yake ni ya kuwa na wanaume wenye heshima zao , wasomi. Wanaojielewa sasa hao bongo fleva Leo huyu kesho yule, mm nampendaga lifestyle yake anajielewa sema hapo tu ananiboaga
Hahahahah naomba nikusalimie mwanaume mwenye heshima zakoKwani sisi wanaume wenye heshima zetu tuko vipi? Naona mnatuongelea sana.
Wee mama nawe? Tiff analo?Vibegi vyenyewe vya hovyoooo....