Bifu la konk! Konk! Konk! (Dudubaya) na Mange Kimambi ni balaa

Konkiiii master wenu anaenda kudhalilika wallah....laana ya Mange haijawahi kumwacha mtu salama, ukitaka kuamini haya waulize Wema na Bashite.....Ni watu wa huzuni na kulia lia tu media na makanisani....
Umemsahau shekhe mtupa mtoto.
 
konki has called mange's bluff
kamwambia LIPUUUAAAAAAAAA
waiting, ila ni kama nahisi mange hana uchafu wowote wa konki(sina uhakika sana though)
 
...I can sense the same
like i said,ameadmit hana,alikuwa anabluff

  • mangekimambi_
    Sikilizeni basi na nyie vyaumbea. Ule ulikuwa ni mkwala tu nilitaka kumtoa uharo kidogo. I was bluffing bwana 🤣🤣🤣🤣
    .
    .
    Alafu na nyie mnakuwa kama mmenijua leo. Mi toka lini namuulizaga mtu achague? Mi huwa nachapa bakora tu. Narushaga picha ya bomu kuwaambia watu waitane au waamshane baada ya dakika 10 naachia mzigo ukijiua ntakuzika. Picha ya bomu huwa ni kwa ajili ya wananchi kukusanyika tu Ila sio muhusika achague 🤣🤣🤣🤣. Nahisi LeMutuz Kamstua konki kuwa sinaga huruma hizo kwa hiyo itakuwa sijapokea mzigo bado 🤣🤣🤣
    .
    .
    Anyways, nawaahidi taifa langu la wambea sitowaangusha kwa hili hakuna vita niliyowahi poteza. Nitakidhi kiu yenu ya umbea. Tulieni kidogo.
    .
    .
    Sasa huko wananchi pigeni kazi shusheni mzigo wa evidence ya picha au video. Yule mtu ni mnywa gongo hawezi kutulia mpaka tumwaibishe kwa ushahidi wa video au Picha. Maana mpaka sasa evidence nilizoshusha ni maneno ya mke wake ambayo hayapingikiiiii na mapicha ya Bilal. Ndoa yake ya Shinyanga na Babu G ilikuwa open hakuna kujifisha waliishi kama mume na mke. Wana shinyanga mnaniangusha. Fungueni ma-album, pitieni picha moja moja huko picha lazma zipo kila mtu azitafute. Issue ya Konki na ushoga haina mjadala kilichobaki ni mtu kujitolea kutumia picha au video tumpoteze kimoja. Tufunge mjadala. Pigeni kazi huko jamani. Na mimi huku napiga kazi. Silali. Alafu msiogope kutuma hizo picha au video ntakachofanya ni kuficha sura za wahusika wengine.
    .
    .
    .
    La mwisho kabisa jamani account inauzwa @paulmakonda @paulMakonda. Acheni nipige hela kidogo kwenye hii kiki 🤣🤣🤣Ila wabongo kiboko 2 hours account ina 40k? 🤣🤣 jamani account kama hii inatakiwa kuuzwa bei gani Ila Siuzi ikiwa na hilo jina maana mtamrudishia Baba Keagan username yake.Jina nabaki nalo.
    .
    .
    Taifa la wambea please believe in me because im KONKI KONKI KONKI MISTRESS.
 
...ahahahahaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…