Bifu la konk! Konk! Konk! (Dudubaya) na Mange Kimambi ni balaa

Umeshapeleka salamu kwa dada yako atuwekee hiyo video?
 
Konkiiii master wenu anaenda kudhalilika wallah....laana ya Mange haijawahi kumwacha mtu salama, ukitaka kuamini haya waulize Wema na Bashite.....Ni watu wa huzuni na kulia lia tu media na makanisani....
Huo moto kauweka lini na Konki Konki Konki yupo unampiga madongo? Nyie watu tatizo lenu mnamuamini sana huyu dada yenu. Habari nyingi anawaletea za uongo sema watu wanamuoga wakidhani anazo za kweli ndiyo maana hua wanaingia mitini sababu hawajiamini lakini safari hii kaioga oil.
 
Ingekua vyema sn km Konki angenyamaza kimya na kumwacha bi shost aendelee na yake,lkn kwa swala la jamaa kuonyesha ushirikiano wa kumjibu yule mama[emoji38][emoji38]jamaa kz anayo
Hana kazi yoyote Mange atanyamaza mwenyewe kama yaliyomkuta kwa Musiba
 
Ukiona Mange anatishia hivyo ujue mabomu yanaelekea kumuishia
Mange huwaga hana simile,
Hana bomu lolote kila alichokisema huko nyuma kuhusu Konki wote tunakijua na cha uongo huyu jamaa hana scandal yeyote zaidi ya kupiga watu vibao hivyo Mange na wapenzi wake wanajisumbua tu na mpaka hii leo Konki kampiga dongo yupo Shinyanga huko kwao Usukumani
 
Haaaaa...sawa, Mange njoo huku watetezi wako wanaibika....Konkiii ashapita njoo tu usiogope make unachungulia dirishani
Watu wamegundua kuwa Mange ni mzushi kupitia kwa Konki Konki Konki master. Sasa kaaibika sababu ya kujiingiza katika mambo hata yasiyomuhusu.
 
Tangia nimjue Mange kimambi kuanzia mwaka 2008 hasa akitajwa tajwa kwenye mtandao wa ze utamu na magazeti ya shigongo kipindi hiko ana beef na Teddy Kalonga hajawai kusanda ila kwa ZeDudu Baya aka Kapafona aka Mapafu ya Mbwa aka Oil chafu aka Konkix3 Masta niseme ukweli "AMESANDA" karudisha mpira kwa kipa ila mwenyewe anasema hataki kutoa kiki ila kwa Ze Dudu oil chafu maana kashfa za ZeDudu za kuzibua mashoga mitaro hazina impact sana na hata hiyo ya Mr. 9c ya kumgombea balabou nayo inakosa nguvu pia coz konki anazibua mitaro ya wanaume.
 
Konk ni konk maana yeye ndo anazibua angekuwa anazibuliwa tungemuvua hadh ya ukonk na uenyekiti Wa chakuma
 
Mzeebaba nawe upo team konki master??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…