Bifu la Lulu, Hamisa: Mange amlipua Majizo

Le mbebezz yuko na 55yrz umri wa koplo jeshi kustaafu .....huyo mzee kumbe anavyeti kma dk manyanyau degree za 3 zote za kujipa mwenyewe
 
Huyu jamaa nae badala achukue mwanamke asiekuwa na Jina atulie nae anawachukua hawa ambao wanampa skendo chafu tu..

Mbona mwenzie Cloud anapiga Kimya Kimya.

Ameanza kuchafuka baada ya kua na lulu, wakati yupo na hamisa wala hakupata hizi scandal Yule lulu sio mwanamke wa kua nae Ana gundu balaa
 
Sio mchezo ni baba yangu mdogo huyu jamaa
 

Attachments

  • 13259572_290050944665260_1590326688_n.jpg
    141.1 KB · Views: 129
Somebody please!!!Nani anamuelewaga Mange sasa safari hii kamgeuka Magu..eeeeh eeeh hana Rafiki huyu mama
 
Dr year+ le mabebez wazee Wa vyeti bila graduation wala picha na hata familia zao azijui walisoma lini bongo tambarare
 
unavita na Dada mange,jiandae
 
Kama UDJ unalipa kihivyo DJ JD angekuwa level za kina mengi bado najiuliza majizo katoa wapi pesa? Alikopa?? Siku hizi bank zinakopesha hovyo hovyo tu?
 
Beauty with no brain makes their private parts suffer the most
 
masikini hamisa alijua kapata kumbe kapatikana, ila eliza akae akijua what goes around comes around huyo bwana kunguru hafugiki sijui anataka kuvunja record ya yule wa mitego kwa kuwa na watoto wa mama tofauti tofauti
Is second time now anapora mabwana
Hata yule lusekelo si alikua bwana wa rafiki yake?heheh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…