Mzimbabwe wa MugabeYaani Mange kamshindwa mganda tu
Kwa afya njema.Aisee watu mpo vzr kwny haya mambo
umemsahau seki sijui ni seti nae alivuta , mpaka ikabidi lulu afute account yake ya instaLulu kila mti anaojitahidi kushika unateleza...
Kanumba alivuta.
Kapteni mbunge wetu naye akavuta.
Majizo naye ataozea selo...
Lulu ana nini Lulu??
Warumi mwaga mboga tu sisi tutatafuta ugali
Atakuwa pipiro tu huyuHivi huyu kijana warumi ni mwanaume au mwanamke?
Ungejua sababu ya kuachwa usingeongea
Haahahaaa warumiii huu mwaka wenu mna ubuyu mwingi mpaka wa ladha ya machungwa tushindwe sie walaji wallah mwanangu kuwa uyaone
mange ana ful data za lulu,lulu hawez kuingia pale ataachwa uchiii
umeona eeehhh!!!Lulu anakosea jambo 1 tu,angeyaweka mapenzi yake sirini kama ilivyokuwa kwa marehemu Kanumba.
Kujishaua mashauzi kibao tena mtu mwenyewe ndio huyo vyanzo vya fedha mashaka matupu ni risk.
Mapenzi ya wazi atuachie anonymous
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shoga anguu!!mwanamke km huyo wa nini...Angesubiri aolewe kwanza ndio atambe,hata hivyo Majizzo akimuacha atakuwa hakumpenda kweli.
Hamisa anashangiliaje sasa?[emoji23] .
Mtanzania pekee mwenye marafiki mabilionea,le akili nenezhivi yule mzee wa kusave reputation za watu a.k.a olivia pope wa bongo le akili kubwaazz anajisikiaje sasa ivi le super friend wake majizo kukamatwa? maana alimtetea utasema anaishi naye nyumba moja