Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Marekani sio serikali ya JPM wale wanaheshimu Uhuru wa kujieleza.Vingenevyo Trump angeshafungua kesi nyingi sana kwa vyombo vya habari vinavyomzushia uongo!Serikali ya marekani haijui...yeye sio mmarekani..
Kuna watu wana nguvu ya kumshtaki na kumchukulia hatua akiwa huko huko marekani...
Hapo ndo alipobugi step kudhani mtu kama Manji hana uwezo wa kumfungulia kesi ya jinai na madai huko huko marekani [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]