Bifu la Mwana Fa na Lady Jaydee limekwisha

A
Alikuwa anataka kuingia bure ndo maana akakataliwa acheni porojo
 
Binafsi simuelewagi anachofanya hide,bora aendelee na biashara tu
 
Hoja yako ni ipi hapa? Hueleweki na huna tofauti na Mwanamke ' Kahaba ' ambaye muda wote anahangaika hangaika tu kutafuta ' Mabwana ' wa Kumbandua.
Hata kama hoja yangu hukuielewa, ni sahihi kutumia lugha isiyo na staha!!? OK ubarikiwe mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…