Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Salam kakosea kumlipua mwamba kwa vitu personal lakini pia P Funk hakupaswa kujibiwa kwa kuwa yeye ni nani ajibiwe, mtu anaepaswa kujibiwa ni yule ambaye mhusika anapolalamika kwa watu au kupitia social media.kama hakuongea kwa fact na akajibiwa bila fact,zinakuwaje intrest za lebel???
iliyoshutumiwa ni lebel nzima,anajibu sallam.
Ulitaka ijibu label asijibu mtu aliye kwenye label? Label ni watu na Sallam is part and parcel katika WCB.kama hakuongea kwa fact na akajibiwa bila fact,zinakuwaje intrest za lebel???
iliyoshutumiwa ni lebel nzima,anajibu sallam.
Midundo ambayo Prof J aliipia, vipi waliotia vinanda yule Mrundi Bizimana(Bizzman) na mtengeneza midundo Chief Rumanyika walipata kiasi gani kwenye hayo malipo? Intellectual rights zao walizipata kwa huo mdundo kutumika?kwenye iyo kesi P Funk alilipwa hela kutokana na mdundo(beat) sio nyimbo nzima
-Unaweza kuwa sahihi kuwa P Funk ana ushahidi lakini hata Sallam anaweza kuwa na ushahidi wa jinsi naye alivyomnyonyaji.kuitetea brand sio kuropoka.
hana ushahidi umejuaje???wewe unafikiri pfunk ni mgeni wa mambo ya kisheria ndugu???kama wanahisi wamechafuka wafungue kesi lakini sababu yaliyosemwa yamewagusa ndio sababu unaona bondia anang'ata.
si wewe wala mimi tunaojua kama hata ushahidi.unajua majani sio mwehu mpaka aseme hayo.
umesoma huko juu,kama hutaki ni kiburi.
kwamba katika kila wimbo kuna haki ya aliyetengeneza beat,kama anachukua zote mpaka za wasanii na COSOTA wanamkabidhi,hilo sio swala lako wala WCB mwachie majani mwenyewe.
hii ni biashara sio msaada.kama unalipwa 60% kwanini uone ni kazi kumtangasa EA!!!
wanalipa 60%??
Hii sio hasira ya kawaidaMajani hana jipya na huyo sallam wake
Majani ni mda wake umepita kashaporwa majungu mengi hana cha maana kanyonya sana waulizwe wakina juma nature kapiga pesa za professor jay album kibao za wasanii kweny platform anachukua asilimia fulani likae tu like pesa angeenda huko uholanzi kwao
Mziki wa miaka hyo majani ,master j na huyo ruge walikuwa kama miuungu kucontrol kila kitu kila msanii lazima wapigwe asilimia wamnyoye sasa zama zimebadilika hata wcb itakuja kufa
Llikuwa Malaya limekuwa lizee limepata akili jing kabisa kuzalisha watoto wa watu na paula ujinga karithi kwa baba ake malipo hapa duniani kazalisha kila kona ndo hapa vijana tujitambue uhuni una mwisho wake simkubali majni hata asilimia zero
Hawajui, wasanii walikuwa wanapigwa makofi mbele za watu, na mitusi juu, unataka kutoka hutaki.We unajuaje kama hawalalamiki punguza shobo mjani hana kitu dhulmati kabisa yule hao wasanii walishatemana nae kitambo mpaka limzeeka malipo ndo haya anayofanyiwa mwanae na mkewe kuchezewa
Lilijifanya linajua kila elimu za mchongo kwenda kusoma nje kutumia pesa nyingine uwezo mdogo kwa vile
Wamedhulumu sana wakati wao umeisha nyie machoko kumtetea mjani mtu mbaya sana kujifanya kila yeye
Disney walitumia nyimbo ya Chameleon Bomboclat, sio nikusaidiaje ya professor Jay… beat ni mali ya producer na sio msanii, labda utoe mpunga mrefu kulinunua… unajua Pfunk alitumia kiasigani kuwalipa composers mbali mbali kwenye hilo beat?Anayo yaongea Majani yana evidence?
Kaongea vitu ila vingine vina mrudia yeye?
Sababu hata hao akina Prof Jay na Nature hawana haki na nyimbo zao, kapewa dollar 50000 baada ya nyimbo ya Nikisaidieje kutumika na movie moja US, Prof alimpa ngapi?Mpaka kufikia level ya Prof kusambaza bakuli kwa ajili ya matibabu.
Vip Nature mmoja ya wasanii walioikamata bongo, ila cha ajabu kwa wasanii waliolipwa mirabaha hayupo, ila tulimwona yeye akienda BASATA kuvuta mzigo (japo najua sio mkubwa).
Chanzo cha beef lao ni baada ya kuomba apewe support ya msanii wake Raptcha, ila WCB wakamchomolea kwani pale kwao kila kitu biashara hamna cha bure.
Enzi za majani mdosi ndio alikuwa anapiga hela ndefu, wao walikula kwenye show zaidi, mfano ugali ya Nature- kumbuka hapo Fella yule yule wa wasafi akiwa ndio boss wa Juma nature huku akila na cartels wa media hasa Joseph kusaga (Kumbuka kisa cha mtoto Iddi kumdhurumu hadi Joseph kusaga mpaka akawa anatafutwa alilipe deni alilokopa kwa bwana Joe) ….Hawajui, wasanii walikuwa wanapigwa makofi mbele za watu, na mitusi juu, unataka kutoka hutaki.
Majani ni sawa na ule msemo wa Kiswahel usemao NYANI HAONI KUNDULE.. wakati huo akiwa ndio producer anayevuma aliwanyanyasa na kuwanyanyapaa mno wasaniiP Funk Majani Ni Bulldozer.
Amechonga Barabara kubwa katika Sanaa ya mziki ambayo Hadi Kufika leo Hapa Inatakiwa Tumpe Maua Yake.
Kitendo Cha Sallam Kumjibu vibaya ni Kumkosea heshima.
................
Baada ya mahojiano aliyoyafanya Producer mkongwe hapa nchini Pmajani na Bongofive ambapo alieleza namna WCB inavyowakandamiza wasanii wake pale wanapotaka kutoka katika lebo hiyo.
Msanii Babalevo alipost kupitia Instagram yake na kutoa maoni na baada ya maneno hayo kuyaona Majani alikuja kwenye comment na kudadavua namna wasanii na maproducer akiwatolea mfano lizerclassic na s2kizzy wanavyonyonywa stahiki zao pale wanapofanya kazi na WCB lakini pia akienda mbali zaidi akiwatolea mfano Rayvanny na Harmonize.
Baada ya comment hiyo alikuja meneja wa Diamondplatnumz sallam_sk na kumtolea povu Majani kwa kueleza pia Majani alivyowanyonya wasanii na kudai kuwa anaishia kuwapiga hao wasanii.
Kasomea Zion collage ya uko uholanziMaster Jay yupo vizuri pili jamaa ana degree ya Electrical Engineering kutoka Uholanzi plus Sound Engineering, elimu inasaidia na ndio mana wasanii weliosoma miaka ya nyuma pamoja mziki kuwakataa il bado wapo vizuri.
Ndio tabu ya kuklemisha vipi walio soma Oxford au MIT sio vichwa.Kasomea Zion collage ya uko uholanzi
Angekuwa kichwa angegusa UDSM
marekebisho hapa, mdundo alipiga Prof. Ludigomtengeneza midundo Chief Rumanyika