Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Fala kaliwe na majani shobo kibao kenge weweHujui hata unachoandika, you better shutoff your fucken mouth !
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala kaliwe na majani shobo kibao kenge weweHujui hata unachoandika, you better shutoff your fucken mouth !
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Salam ajashusha heshma yake bali kasema kitu ambacho kipo kweli.Ni upumbavu mtu Kama Sallam kusema maneno kama hayo, ameshusha heshima yake Wala hajapiga popote
Samahani mkuu kwani cosota wakitoa mgao kwa wimbo fulani pesa anapokea prodyuza au aliyeimba? Mfano mtoto wa geti kali ikipigwa pesa inaenda kwa majani au gangwe moob?Okay sawa vipi hao akina Nature, Inspector na wengineo wengi waliokuwa kwenye label yake,manake mgao siku hizi Cosota waanza kuutoa japo kwa kusuasuana mpaka sasa hatujui mikataba yao ilikiwaje.
Sidhani kama salam yuko pale kujibu kila kituSalam SK hajajibu hoja it seems iko shida kubwa hapo wcb.
Salah ndo nani na wwUzuri akili za majani na salaah Ni Kama pipa na mfuniko wake.Zina-match.
Mkuu ulichoandika ni kweli kuwa ilitumika beat tu, lakini kumbuka mwanzo alilipwa jose kwakuwa walipata ile beat kutoka kwenye wimbo wa bomboclaat na sio nikusaidieje ndio p akawafata kuwaambia mliyemlipa nae ni mwizi tu, beat kuwa mali ya nani kati ya msanii na prodyuza inategegemea wakati wa kutengeneza walikubalianaje,Acha uongo kwenye Ile movie ilitumika beat ya nikusaidieje na sio wimbo WA nikusaidieje... Beat ni Mali ya producer na sio Msanii. Mashairi katika wimbo ndio Mali ya Msanii ..kwenye movie walitumia beat sio wimbo kilaza wewe
.unadhani wazungu ni mafala kumpa hiyo hela Pfunk kama producer ?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ni engineer wa DAWASKO.
Yes especially ukizingatia P.funk amepiga kwenye mshono.Sidhani kama salam yuko pale kujibu kila kitu
Ametoa taarifa, acha ushamba.Mtoa mada umejianzishia habari na umenijibu mwenyewe sasa kulikuwa na umuhimu gani kuleta hapa jamvini?
😀 😀 😀 😀 sallam hanaga breki yanii... matusi hayaP-Funk anamwambia Salam "WCB inanyonya wasanii Rayvany kasepa, Harmonaiz nae kasepa.",
Salam akamjibu Majani,,,"hao waliotoka WCB unawatetea kwasababu wanakulelea binti yako na mke wako wa zamani[emoji23][emoji23]
Salam kapiga kwenye mshono[emoji125][emoji125][emoji125]
Majani ana ongea sana kama mwanamke wa uswahilini, ni kweli wanamlelea mtoto na mke wake wa zamaniAmbacho sijapenda ni Salam kuingiza personal attack Kwa Majan
.
hao waliotoka wcb unawatetea kwasababu wanakulelea binti yako na mke wako wa zamani
.
Sio kauli NZuri yeye angejibu Hoja ya Majani with vivid evidence na Sio personal attacking Kwa mleta Hoja
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jibu mujaraba hawezi tena taja label za watu ovyo ovyo😀 😀 😀 😀 sallam hanaga breki yanii... matusi haya
Majani amejaa stress sasa ana tafuta mtu wa kumfiaHivi unajua heshima ni bidirectional?
Jinsi unavyo behave na ndivyo watu watakavyo watakuchukulia.
Huwezi kuizungumzia biashara ya mtu vibaya kisa tuu kukataa kumpa promo msanii wako halafu akuachie.Wasafi ni brand ya kibiashara ukiizungimzia vibaya utajibiwa.
Mfano nyayua mdomo wako sasa hivi halafu uongee vitu visivyo na evidence kwa brand za Tigo,Vodafone nk halafu uone watakufanya nini?
kapiga pabayaa sanaa yani na alivyobhangii anaweza mtafutaaa 😀 😀Jibu mujaraba hawezi tena taja label za watu ovyo ovyo
Salam sk ametisha, haya ndio majibu ya wapiga domokapiga pabayaa sanaa yani na alivyobhangii anaweza mtafutaaa 😀 😀
StupidMajani atulie tu na yeye mbona master j hana maneno
Mbona na yeye kamnyonya kajala mpaka kamzalisha tena akiwa teen
Tigo pesa si salama kabisa, unaweka pesa inapotea halafu wanaanza kukupiga sound tu,,, haya wanifuate niko huku kigurunyembeHivi unajua heshima ni bidirectional?
Jinsi unavyo behave na ndivyo watu watakavyo watakuchukulia.
Huwezi kuizungumzia biashara ya mtu vibaya kisa tuu kukataa kumpa promo msanii wako halafu akuachie.Wasafi ni brand ya kibiashara ukiizungimzia vibaya utajibiwa.
Mfano nyayua mdomo wako sasa hivi halafu uongee vitu visivyo na evidence kwa brand za Tigo,Vodafone nk halafu uone watakufanya nini?
Kwa ujinga wako SAALAm ni mwarabu?mara nyingi watu aina ya warabu huwa wanamatatizo sana popote pale ukipishana naye kauli tegemea either kukutukana tena anakutukana matus ya uncivilized person au kujibu ujinga kama huo aliojibu huyo mwarabu koko ndoo maana waarabu wakijaga anga zangu huwa nawashugulikia hasa mpaka wanalia meeeeeee na ujinga wao.