Walikuwa wanafuata nyayo za baba wa kufikia na mama Paula (kajala na harmonize) maana wao walianza watoto wao wakamaliza😂😂Maelezo Yako Yamekaa Kinafki , Mtindo Wa Kujirekodi Sio Mzuri Kwa Maadili Yetu Ya Kitanzania
Harmonize hajui nini la kufanya Wala kuongea kwa wakati gani.Watu Watupi na Matatizo yao.
Watoto tunao lakini hawawezi kuishi kama Paula ,
Kwenye hili mama yake ndo abebe mzigo wote baba yake Paula kalalamika mara nyingi lkn kutwa Paula na mama yake kumsema Pfunk
Me naona wanazidi kum-expose Paula sasa subilia after hili uone katakavyogawanwa kama mpira wa kona watu wameshaona kumbe kanalika kiulaini kabisaaa
🤣🤣🤣🤣🤣Baba mkwe akiwasili polisi kwa ajili ya kumfungulia kesi Ray vanny.
Alafu na jiuliza wazee wa siku hizi sio wakali,huyu Harmonize anakuja kituoni kam nani ina maana Mzee Masanja kishachukua mahali yake.
Uchawa kazi kweli..huyo Ray amefanya jambo la kitoto ingekuwa Marekani ndio sanaa yake ingeishia hapo makampuni yote yangeacha kufanya nae kazi ila huku kwetu unafiki tuHii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.
Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.
Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.
Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.
Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?
Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.
We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Kosa la Rayvanny Ni lipi? Kwanza tuanzie hapo?Uchawa kazi kweli..huyo Ray amefanya jambo la kitoto ingekuwa Marekani ndio sanaa yake ingeishia hapo makampuni yote yangeacha kufanya nae kazi ila huku kwetu unafiki tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] heeeeh kuna watu wapambe weee hapana,Katika watu ambao nawakubali ni vany boy , mtu humble Sana mshikaj , ukweli ni kuwa mademu wanamshobokea Sana mwamba Zaid hata ya Mond , ..... Sema ndo hvyo mshikaj hapend makuu .... Kingine Vannyboy kumchapa Paula Konde imemuuma Sana mana huenda na yeye target ilikuwa kuwa karbu na hako katoto , kuzikwa Kwa Kiki yake na Kajala ndo kanuna Zaid , ......
Uzuri Paula mwenyewe kazima Kwa mtu mbaya Vanny boy [emoji1787] afe kipa afe beki demu yupo upande wa mwamba .... Na ameahdi kumpa yoteeee ma-mae
Rayvanny mwenye bado mtoto mdogo. Ila umaarufu ndio unafanya aonekane kama mtu mzima, ila bado anahitaji uangalizi wa watu wazima kama ilovyo kwa PaulaKuna watoto wa get ikali wanapewa ujauzito pia.na hao ni kosa la mama zao? Kati ya hao wawili RayVany ni mkubwa alitakiwa atumie akili zaidi...
Huu ndio uanaume sasa, [emoji120][emoji120][emoji120]Jipige kifuani mara tatu kisha sema ..
Mimi sinza pazuri ni kajinga na kabwege
Unaandika utumbo kwenye jambo ambalo liko wazi???
Izi tope za kiCCM huwa mnazitoa wapi?
Au ndo ushabiki wa kijinga jinga
Hamo kwa sasa yupo na Kajala.
Na kama mwanaume wa Kajala,ni wajibu wake kumsimamia Kajala ktk mambo yote yanayohitaji uwajibikaji wa Mwanaume.
Jamaa ana roho mbaya yaani anatamani mwenzie apigwe mvua za kutosha.Kondi boi kavurugwa, eti anamwandikia Vanny Boy, kwamba unafanya hivyo kwasababu unaniona nipo na Kajala? How insecure that guy is!
Jamaa ana roho mbaya yaani anatamani mwenzie apigwe mvua za kutosha.
Ule waraka umekaa kinafki sanaHarmonize ni mnafiki ule waraka wake sio wa kumpa nasaha mwenzie bali kumchongea
Huyu jamaa ako na unafki sana[emoji57][emoji57]Jamaa ana roho mbaya yaani anatamani mwenzie apigwe mvua za kutosha.
Mwisho wa ubaya aibu. Tutamwona Vanny Boy anadunda kitaa yeye atabaki na aibu tu. Na aishi hivyohivyo perfect, siku akiyakanyaga tu, sisi tushajua lawama atapewa nani?
Sara kumbe ni Jamvi la wageni aka mlezi wa wana,nilijua aliteleza kwa Mwarabu Figher kumbe ndio tabia yake,kweli wamasai walimfundisha tabia mbaya.