Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
Hatakama Ray ana makosa ndo njomba nchumali aandike waraka wa kumshauri public?.
Huo ni unafiki kama aliona baharia mwenzie kakosea kwanini asimfuate chimbo ampe muongozo kuliko kuandika maneno meeengi kama taarabu ya isha mashauzi kumkandia mwenzie hadharani kama vile ?
NB
Mmakonde nae pisi Kali tu kufuatilia kesi ya Paula wakati so goli lake,na wakati P funk mwenye mali katulia ni umama!
Nadanganya ndugu zangu?
Huo ni unafiki kama aliona baharia mwenzie kakosea kwanini asimfuate chimbo ampe muongozo kuliko kuandika maneno meeengi kama taarabu ya isha mashauzi kumkandia mwenzie hadharani kama vile ?
NB
Mmakonde nae pisi Kali tu kufuatilia kesi ya Paula wakati so goli lake,na wakati P funk mwenye mali katulia ni umama!
Nadanganya ndugu zangu?