Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Hatakama Ray ana makosa ndo njomba nchumali aandike waraka wa kumshauri public?.
Huo ni unafiki kama aliona baharia mwenzie kakosea kwanini asimfuate chimbo ampe muongozo kuliko kuandika maneno meeengi kama taarabu ya isha mashauzi kumkandia mwenzie hadharani kama vile ?
NB
Mmakonde nae pisi Kali tu kufuatilia kesi ya Paula wakati so goli lake,na wakati P funk mwenye mali katulia ni umama!


Nadanganya ndugu zangu?
 
Kuna watoto wa get ikali wanapewa ujauzito pia.na hao ni kosa la mama zao? Kati ya hao wawili RayVany ni mkubwa alitakiwa atumie akili zaidi...
Yule mtoto au malaya tu wa mtandao angekua na hayo maadili tusingemuona anajiachia na nguo za ajabu mitandaoni. Alichokosea rey labda kupost ila hamna ishu ya mtoto ni binti mkubwa tu anaejitambua nini anafanya.
 
jaman kuna vitu mnachanganya hapa, uhumble wa vanny boy na kuvunja sheria havina uwiano hata kidogo kila kitu kinajitegemea ...na anachofanya harmo hata wewe ungefanya, jamaa ndio step father wa paula, mapenz yana nguvu sana mwanamke atakuwa kamwomba jamaa amsapoti...
 
Ndo wanaenda kuchapika wote yeye na hawara yake .... Watulipe Kwanza kuchafua brand ya Mobeto
 
Udanganyi mzee umeshusha nondo.
 
@sinza pazuri we ME or KE?[emoji1745][emoji1745][emoji849][emoji849][emoji15][emoji15]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Hold on...mkuu we KE Or ME?[emoji849][emoji15][emoji15][emoji15]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ma
Maneno meeengi ila lazima vani akanyee debe
 
Lazima vani akanyee debe, haiwezekani atie mtoto wa shule them apige picha akimla.

Msando kaulizwa kuhusu sheria zinasemaje akasema kuwa alochokisema Hamo ndio hiko hiko kudadeeki
 
Watoto wa kiume mnastory za udaku kama dada zenu !tafuteni hela nyie siyo mnakaa kudiscus kuhusu wanaume wengine as is if mnataka Na nyie kukandwa [emoji35]
 
Upo sahihi sana, kula Golf GTI mpya ya mwaka 2015. Rayvanny kakosea, hatukatai, ila jamaa kasaga kunguni kishenzi as if hilo jambo haliwezekani kuitwa Rayvanny kiutu uzima au kisheria na kukanywa kuliko yeye alivyo jibebesha zigo la mavi
 
[emoji16][emoji16][emoji16] German machine.
Upo sahihi sana, kula Golf GTI mpya ya mwaka 2015. Rayvanny kakosea, hatukatai, ila jamaa kasaga kunguni kishenzi as if hilo jambo haliwezekani kuitwa Rayvanny kiutu uzima au kisheria na kukanywa kuliko yeye alivyo jibebesha zigo la mavi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…