Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

Bifu la Rayvanny na Harmonize halijaanza jana wala leo

msitake kuhamisha magoli.,ni kiki alikua anatafuta and it turned out to be bad,he should face consequences and learn,..mbaya Intermet never forgets, linakua kama jinamizi vile..pole sana in advance..pray kama unaamini in prayers....
Nilitaka nishangae upite hivi hivi bila kumtetea mwanao konde boy aka pfunk majani wapili [emoji3]

Paula sio mtoto mdogo wala sio mwanafunz....

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Kesi ya kutoka na kident mwendesha mashtaka ni dpp na ushahidi upo wazi, hamna hamna sana Vanboy anakula 5 years ngomeni
Hakuna kesi hapo mkuu...just wait and see. Sheria ya elimu inasema atakayempa mimba mwanafunzi anatenda kosa la jinai...haisemi kuwa atakayekuwa na uhusiano na mwanafunzi anatenda jinai.

So ukimpa mimba mwanafunzi...jela inakuita...30 years. Swali la kujiuliza ni kuwa Paula ni mwanafunzi? Anasoma wapi? Kama si mwanafunzi ana umri gani?
 
Zile millioni 500 mnaenda kuzirudisha kiulaini sana. Paula kafaulu kujiunga na kidato cha tano na shule alishakubaliwa. Nyie endeleeni ktengeneza bifu za kusadikika. Huyo Ray ana mpunga gani wakati alifukuzwa kwenye ghorofa kisa kodi ya millioni 2 tu
 
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Baba mkwe akiwasili polisi kwa ajili ya kumfungulia kesi Ray vanny.



Alafu na jiuliza wazee wa siku hizi sio wakali,huyu Harmonize anakuja kituoni kam nani ina maana Mzee Masanja kishachukua mahali yake.
 
Ndio namtetea, ngojana wewe uzae mtoto wa kike utaelewa why...

Watoto tunao lakini hawawezi kuishi kama Paula ,

Kwenye hili mama yake ndo abebe mzigo wote baba yake Paula kalalamika mara nyingi lkn kutwa Paula na mama yake kumsema Pfunk

Me naona wanazidi kum-expose Paula sasa subilia after hili uone katakavyogawanwa kama mpira wa kona watu wameshaona kumbe kanalika kiulaini kabisaaa
 
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Acheni umalaya halafu mnakuja kulialia kama mbwa koko mitandaoni.

Kika mtu dunia hii akisema ajirejodi anafanya mapenzi, duniani hapatosha.
 
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Hizo takwimu za vipato umezipata kutoka chanzo kipi?
 
Zile millioni 500 mnaenda kuzirudisha kiulaini sana. Paula kafaulu kujiunga na kidato cha tano na shule alishakubaliwa. Nyie endeleeni ktengeneza bifu za kusadikika. Huyo Ray ana mpunga gani wakati alifukuzwa kwenye ghorofa kisa kodi ya millioni 2 tu
Wwe mbuz nafasi za kidato cha tano hazijatoka bado!!!! Halafu kuna option aende chuo ama advance ....

Usinambie if paula akaenda College je???? Mtaweka wap sura zenu!!?

Halafu yule alikua mtahiniwa Binafsi....pc..So advantage ya kuchaguliwa Advance ni ndogo labda aende binafsi///

Lakin kwa sasa sio mwanafunz....na kama ni mwanafunzi " swali wa shule ip!!?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Jipige kifuani mara tatu kisha sema ..

Mimi sinza pazuri ni kajinga na kabwege


Unaandika utumbo kwenye jambo ambalo liko wazi???


Izi tope za kiCCM huwa mnazitoa wapi?

Au ndo ushabiki wa kijinga jinga


Hamo kwa sasa yupo na Kajala.

Na kama mwanaume wa Kajala,ni wajibu wake kumsimamia Kajala ktk mambo yote yanayohitaji uwajibikaji wa Mwanaume.
 
Mimi Vanny boi mtu mbaya kanifurahisha sana kukiatafuna kile kitoto maana mama yake aliambiwa akawa mjuaji...

Harmonize nimekubali mnafki kichizi yaani ile comment yake kasaga sana kunguni na kingine kinachomuuma akitoa ngoma watu hawashtuki ametoa ngoma na yule Angella na kabla ya kutoa alipiga sana promo maneno kibao mwisho wa siku imebuma ndo anazidi kuvurugwa.
Katika watu ambao nawakubali ni vany boy , mtu humble Sana mshikaj , ukweli ni kuwa mademu wanamshobokea Sana mwamba Zaid hata ya Mond , ..... Sema ndo hvyo mshikaj hapend makuu .... Kingine Vannyboy kumchapa Paula Konde imemuuma Sana mana huenda na yeye target ilikuwa kuwa karbu na hako katoto , kuzikwa Kwa Kiki yake na Kajala ndo kanuna Zaid , ......

Uzuri Paula mwenyewe kazima Kwa mtu mbaya Vanny boy [emoji1787] afe kipa afe beki demu yupo upande wa mwamba .... Na ameahdi kumpa yoteeee ma-mae
 
Paula ni Priavte Candidate yupo nje ya mfumo rasmi hata angepewa mimba hakuna kesi..labda afunguliwe kesi ya uzalilishaji vinginevyo hakuna kesi.
Hakuna kesi hapo mkuu...just wait and see. Sheria ya elimu inasema atakayempa mimba mwanafunzi anatenda kosa la jinai...haisemi kuwa atakayekuwa na uhusiano na mwanafunzi anatenda jinai.

So ukimpa mimba mwanafunzi...jela inakuita...30 years. Swali la kujiuliza ni kuwa Paula ni mwanafunzi? Anasoma wapi? Kama si mwanafunzi ana umri gani?
 
Hii bifu ilikuwa ya chini chini ila sasa inaenda kuwa kubwa sana baada ya Hamo kwenda kumfungulia Rayvanny kesi polisi.

Hii scandal inayoendelea ni zuga tu ila watu wana bifu zao za kitambo.

Chanzo cha bifu ni mzungu, mzungu alimshobokea Vanny Boy na chui hakupepesa macho akampelekea moto shida ndio ilianzia hapo.

Kingine kinachomuuma Hamo ni ile kudhani atakuwa msanii no 2 akijitenga na Wasafi badala yake kwa sasa msanii namba mbili kwa kupiga pesa mtandaoni ni Rayvanny na no3 ni Kiba. Hili linamuumiza sana Hamo kuona expectations zake hazijaenda anavyotaka maana alienda mpaka kuomba ubalozi wa bei rahisi akidhani ndio itakuwa strategy ya kujenga brand matokeo yake brand imezidi kuwa ndogo ameshindwa mpaka kuzijaza club ikabidi acancel tour ya clubs.

Sasa naona kajigeuza Pfunk Majani yeye ndio kaenda kufungua kesi na ndio ameisukuma hii ishu mpaka kuwa kubwa, wanaojua wanajua lile gazeti la kajala linafanana na la leo. Inawezekana Ray kakosea ila tunajiuliza huu uchungu kwa Paula huyu mmakonde kautoa wapi?

Alimchonganisha Mavoko mpka akagombana na Diamond sababu amezoea maisha ya kinafki, uchonganishi na fitna za kusini.

We all know Chui ni mtu poa sana uwa hanaga shida na mtu na atavuka fresh huu mtihani ila mmakonde tutaenda sawa aina shida.
Maelezo Yako Yamekaa Kinafki , Mtindo Wa Kujirekodi Sio Mzuri Kwa Maadili Yetu Ya Kitanzania
 
Kajala ni nyoka na amezaa nyoka. Lawama ni juu ya mama maana hata baba alishasanda.
Japokuwa mtoto akiamua kuharibika huwezi kuzuia, ila kajala Naye wakulaumiwa wewe Ana mtoto wa kike Yuko mtandaoni na konde wanaofanya ujinga watanzania wote tunaona, halafu Leo aje ajiite ni mama bora sijui Ana machungu mwanae katafunwa, sijui kazimia.
Ila harmo Naye hii issue Angekaa mbali nayo, baba mzazi mwenyewe hajatoa tamko inakuaje harmo anakuwa mstari wa mbele Kama tundu ya bunduki
 
Back
Top Bottom