wengi wa raia wa mikoani hauwaambii kitu kuhusu Shigongo
wanamsujudu yaan hakuna mfano!!
acha kudharau wa mikoani wewe, wamsujudie shigongo kwa lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengi wa raia wa mikoani hauwaambii kitu kuhusu Shigongo
wanamsujudu yaan hakuna mfano!!
hakuna kuacha....jukwaa liko motomoto now.......
punguza tu baadhi ya maeneo na wale wanaojifanya wenyewe ni born town
achana nao wala huna haja ya kujibizana nao.. they either TAKE it or LEAVE it.
Sasa wewe uku umefuata nn? Nyani haoni.......
aya pita iviii
siwezi kupita muache kudiscuss na nuchunguza mambo ya watu mwanaume mzima cha kuongea huna ukisutwa unakimbilia mahakamani wanaume wenzio wakusaidie
Heaven on Earth naomba uni PM huu ubuyu ukitoka please jamani aafu babu aliejiua ndo nani jamani?
siwezi kupita muache kudiscuss na nuchunguza mambo ya watu mwanaume mzima cha kuongea huna ukisutwa unakimbilia mahakamani wanaume wenzio wakusaidie
According to warumi, Lulu c kwamba amehongwa bali katoa ile ki2 ya joto mingi nayobana eksaktile!
hahahaha uwe unaiita hoe
Watanzania acheni umbeya ninyi fanyeni kazi .mmekalia majungu wenzenu wanatandika mabomba ya gesi mkimaliza hao na gesi wanaelekea kwao
guys huyo Babu aliejiua ndo nan?mbna twafchana
hakuwa na umri wa kuanza kuitwa babu......
R.I.P K
umeshaambiwa Celebrities forum ulitaka tuchunguze mimea!!!!!!!!!!!!
Alitaka tuwa-discuss celebs Jesus and Moody!umeshaambiwa Celebrities forum ulitaka tuchunguze mimea!!!!!!!!!!!!
dah... jamaa ingawaje nilikuwa cmuamini amini lakini it didn't cross my mind kwamba mla visamvu vilivyochacha! afu anapiga mawe wenzake wakati anaishi nyumba za vioo!!??Erick ndio anapenda hizo ishu.... kula kisamvu
Na wewe acha unoko bhana... kama issue huzipendi c unazipotezea bana?! hivi nchi hii kuna anayeongoza kuchunguza private life za watu zaidi ya huyo Shigongo? Muulize Jide atakuambia... hadi gazeti lake akalitungia wimbo!siwezi kupita muache kudiscuss na nuchunguza mambo ya watu mwanaume mzima cha kuongea huna ukisutwa unakimbilia mahakamani wanaume wenzio wakusaidie
hahahaaaaaa we
joe5 umenichekesha sana we kutwa si ndo uko
kumsimanga binamu
kila habari atakaeitoa leo yamekusibu yapi kuubariki huu umbea as
unavoitaga kila siku
Back to topic huyo mtu hana cha umakini wala nini ingekua opareshen
fichua maovu ianze
nae na wangeanza na ile ishu waliomfanyia yule baba hadi akajitoa uhai
wake kukwepa aibu