Bifu la Shigongo na Irene Uwoya

Bifu la Shigongo na Irene Uwoya

Mi nilichoka tu ile ishu yake na yule jamaa wa magereza ya ukonga , dah jamaa muuaji wa kimataifa, alitaka kumuua mh wa watu bure , ila ataumbuka tu soon, ulimwengu utamjua the real James shigongo, kuna jambaz la kitaifa lipo ukonga magereza lilitumwa kumuua mh flan(jina kapun) na funguo ya nyumba yake akapewa bahat nzuri hakumkuta, huu ubunge huu wa kulazimisha hatar

binamu huyu mtu huyu ni hatari.,,,,OFM ilibidi ianze na yeye
 
Kua tajiri bila elimu lazima uwe mchawi, mwizi, muuaji huku migodini tulipo tunayaona ila cku hizi yamepungua sana matukio hayo, ila matajiri wa zamani wa tanzanite walikua balaaa ucpime

hahaa eti mtu anasema alikua anauza vitumbua then huo billionaire........

halafu zile stori zake anajifanyaga anaelezea maisha yake hadi alipofika

full kupindisha mambo halafu si aseme mtaji wa business alipata wapi
 
hahaa eti mtu anasema alikua anauza vitumbua then huo billionaire........

halafu zile stori zake anajifanyaga anaelezea maisha yake hadi alipofika

full kupindisha mambo halafu si aseme mtaji wa business alipata wapi

Kua tajiri ghafla ni ngumu labda uwe unauza gemstone zile za gharama, stori zke kma cinema za kihindi uwongo mwingi hataree unaweza zania anatunga yeye kumbe anatoa kwenye movie
 
Shigongo ni muuaji mkubwa! Alimshawishi mdogo wake wa kike aolewe na tajiri mmoja alikuwa anamiriki meri pale mwanza ili baadae waje wamuue wajimirikishe mali zote. Kweli mwisho wa siku jamaa alinyweshwa sumu akafa na mali zote+meri Shigongo na dadake wakataifisha!
Ntarudi kuwapa kisa kingine kilichomfanya atoroke kwao hatimae akaja jijini dsm! Stay tuned.
 
Shigongo ni muuaji mkubwa! Alimshawishi mdogo wake wa kike aolewe na tajiri mmoja alikuwa anamiriki meri pale mwanza ili baadae waje wamuue wajimirikishe mali zote. Kweli mwisho wa siku jamaa alinyweshwa sumu akafa na mali zote+meri Shigongo na dadake wakataifisha!
Ntarudi kuwapa kisa kingine kilichomfanya atoroke kwao hatimae akaja jijini dsm! Stay tuned.

Jameni anzisheni sredi mupyaaaaaaaaa
Hii ya kanyela mumo hii twakosa ubuyu wa babu issa vizuri
Raha ya khabari kama hizi zisije kwa post kitu kiwe kinakuwa updated tu!
Cc Gossipcopwarumi
Binamu hebu tutendee haki yetu ya kikatiba
Kupata habari!
 
Last edited by a moderator:
hivi nani ana clip ya part II Mzee K akiliwa kiboga kule Sinza?
watu walitemeshwa mil 70 wakaona bado.
Maskini......baba wa watu kajiua zake.

Kaona haitoshi....akataka adhulumu Triz Motel......maskini hakujua kuwa Sumuaye....angeng'oa gati....
Jamaa kaona isiwe tabu, usalam kapagwaya
Sahivi anatamani hata asingekuwa waziri.
Now ni paka na panya.
Hata afanye zuri gani.....hakohowi katu.

......kama hamjanielewa mnisamehe, naogopa kitanzi

hii iko deep sana..mange pekee ndio anaweza kuielezea
 
Shigongo ni muuaji mkubwa!
Alimshawishi mdogo wake wa kike aolewe na tajiri mmoja alikuwa anamiriki
meri pale mwanza ili baadae waje wamuue wajimirikishe mali zote. Kweli
mwisho wa siku jamaa alinyweshwa sumu akafa na mali zote+meri Shigongo
na dadake wakataifisha!
Ntarudi kuwapa kisa kingine kilichomfanya atoroke kwao hatimae akaja
jijini dsm! Stay tuned.

Umeniwahi Mkuu, we kiboko!
 
Back
Top Bottom