lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,748
- 1,388
Kweli ndugu yangu naona wanamwogopa au hawana ujumbe wamekalia majungu. Mbona issue ya juma kapuya watu walinyooka Mpaka kuweka Picha na isitoshe kapuya ni mtu maarufu?. Inaonesha hawana ushaidi kabisa au wamekumbwa na fichua maovu ya shigongo sasa wanaungaunga na Habari za kitoto hapa. Kama kweli wana hoja Hebu waweke sio kuruka ruka hapa