Bifu la Shigongo, Ruge na Babu Tale

yes kaka kama kuna mtu mmbaya hapa na anayetumia tasnia kuharibu na kuwaharibia watu maisha ni ruge mtahaba uku yeye akijificha kama kobe asizani watanzania wanapendezwa na tabia zake anatumia vyombo vyake na vikundi vyake kufanya uchafuzi huo haya yanamwisho wake anapoteza umaarufu wa vipindi vyake ila kaka ushauri usikae kimya mno akuanzae mmalize nakumbuka hadithi za zamani
 
na nyinyi mnaoposti bila kufikiria kama vibaraka wa kutumiwa kwa kutafuta kiki jishughurisheni hata kufikiri
 
magazeti tunasoma na kutunza kumbukumbu ila redio tunasikiliza kama mkutano na kuondoka kuyaacha hapohapo
 
Kwanin unasema siraha ya shigongo kwa ruge ni mimba ya zamaradi kwani kuna ubaya gan
 
Ila aangalie sana timing akipambana sana na Ruge now ataonekana kutumika na makonda kutetea vyeti feki watch it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…